Wadau nikumbusheni enzi hizo Vijana Jazz Orcherstal?

chiefnyumbanitu

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
906
426
mwisho wa mwezi mwisho wa mwwzi una raha mama eeh
mwisho wa mwezi ukifika una raha ya pekee
utaona watu wengi wana nyuso za furaha eeh
kwavile wana pesa pesa eeh
ukifika mjini iiih! ama kweli utashangaa
watu wanavyopisha kutafuta mahitaji
watu wanavyopishana kutafuta mahitaji
kwa wale wafanyakazi wa viwanda na maofisini ni raha eeh

mwisho wa mwezi una raha eeeh
ama kweli ni furaha tu ni furaha.
 
mwisho wa mwezi mwisho wa mwwzi una raha mama eeh
mwisho wa mwezi ukifika una raha ya pekee
utaona watu wengi wana nyuso za furaha eeh
kwavile wana pesa pesa eeh
ukifika mjini iiih! ama kweli utashangaa
watu wanavyopisha kutafuta mahitaji
watu wanavyopishana kutafuta mahitaji
kwa wale wafanyakazi wa viwanda na maofisini ni raha eeh

mwisho wa mwezi una raha eeeh
ama kweli ni furaha tu ni furaha.

Mwisho wa mwezi hata lugha hubadilika ee
Habari gani hugeuka kuwa "How are you?'
Hakuna taabu hugeuka kuwa "No sweat!"
Na samahani wanasema Soreee..........

Acha wee!
 
Tupia humu
 

Attachments

  • 1455768287534.jpg
    1455768287534.jpg
    155.4 KB · Views: 34
Ogopa matapeli....Watu hao wamenea sana kila kona hapa mjini kazi yao kuibia watu jina lao matapeli... bwana mangushi nakupa pole sana. ....
 
Mary Maria.

Kwa kweli sasa nimenasae, sina ujanjaee eeh.....sina ujanjaeeeee.....nilivyomhusudu mtoto Mary....
 
mwisho wa mwezi mwisho wa mwwzi una raha mama eeh
mwisho wa mwezi ukifika una raha ya pekee
utaona watu wengi wana nyuso za furaha eeh
kwavile wana pesa pesa eeh
ukifika mjini iiih! ama kweli utashangaa
watu wanavyopisha kutafuta mahitaji
watu wanavyopishana kutafuta mahitaji
kwa wale wafanyakazi wa viwanda na maofisini ni raha eeh

mwisho wa mwezi una raha eeeh
ama kweli ni furaha tu ni furaha.
Mwanameka hii hapa

 
Halafu enzi hizo marehemu Maneti akiwa na Binti mmoja mwimbaji..jina limenitoka sio..... Shida Waziri? Hivi yupo wapi mtoto huyo?
Kida waziri hapo unakutana na mtindo unaitwa kafie kwenu sio mchezo jukwaa lilivyokuwa linashambuliwa nakumbuka almarhum eddy sheggy
Fanya yote lakini ukumbe maisha ni mlima kunakupanda na kushuka mamaa
Bali kuteleza sio kuanguka chaurembo mama eeh
Chauremboo likitajwa jina lako moyo wangu unashituka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom