Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 708
Kuna baadhi ya nyimbo za TOT band ambazo zilikuwa kwenye album yao ya kwanza na ya pili ambazo nimekuwa nikizitafuta kwa muda mrefu sana.Nafikiri ndani ya JF haliharibiki neno na nina imani nitazipta kupitia kwenu waungwana.
Nyimbo zenyewe ni "mpende akupendae" na wimbo mmoja hivi sikumbuki jina lake ambao ndani yake Marehemu Leila Rashid na wengine walishiriki kuimba.
Kwa kifupi kama nikipata nyimbo zao kutoka kwenye album ya kwanza itakuwa poa sana na album yao ya pili.
Nyimbo zenyewe ni "mpende akupendae" na wimbo mmoja hivi sikumbuki jina lake ambao ndani yake Marehemu Leila Rashid na wengine walishiriki kuimba.
Kwa kifupi kama nikipata nyimbo zao kutoka kwenye album ya kwanza itakuwa poa sana na album yao ya pili.