Bunguabongo
Member
- Jan 12, 2011
- 27
- 22
Wapendwa naomba mwenye taarifa kuhusu interview kwa kazi zilizotangazwa pale UDSM mwezi Januari. Je wameshaita watu kwa ajili ya usaili? maana na mimi nilirusha ndoano yangu lakini mpaka sasa naona bilabila. Ahsante.