ok ni kwamba nikiwa naziangalia zinakuwa ndogo(smaller in size) kana kwamba katka screen zinakuwa katikat kabisa na hata hazionekan vizur ndio nauliza ntafanyaje ili hz image ziwe na saiz ya kawaida ambayo zitaonekana vizuri na sio viimage vidogo?
Hiyo camera ni ndogo.
Kwenye Camera kuna kitu kinaitwa Resolution
Hiyo ya laptop ni 1.3 Megapixel
inafaa tu kwa mawasiliano ya Internet.
Hata kwenye simu zenye Camera ni simu za bei rahisi sana ndio wanatumia camera hizo!
Zipo program nyingi za kuedit picha zinazoweza kukuza picha hiyo, lakini zitakusaidia tu kuona vizuri jinsi picha zenyewe zilivyo za kiwango cha chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.