Habari wana Jf, kuna jambo kidogo naombeni mawazo yenu, Mimi ni mwajiriwa wa taasisi moja, mwaka jana serikali ilivyopandisha mishahara mwezi wa saba, taasisi yetu na yenyewe ikatupandishia (mimi ni mwajiriwa wa mkataba) sasa mkataba umeisha wananipa mwingine wa 2yrs ila eti wanasema hakutakuwa na changes zozote kwenye salary yangu coz walishanipandishia mwaka jana, Je hii ni sahihi? nikubali mkataba mwingine kwa mshahara wa mwaka jana?