Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Jumuisho: Kikwete ndio kinara wa hilo zigo la Dowans
Hii haswaa ndiyo ukweli wenyewe na ndio maana kuna watu hata huko CCM wanaoeleweka kwa misimamo wanaogopa kuwa wazi kupinga malipo haya simply b'coz inaweza kuwa interprated ni kumpinga JK. Na hii pia inatuthibitishia kwamba JK ni dikteta huko kwenye vikao vyake na likely ni mtu wa visasi kama ilivyowahi kusemwa huko nyuma.