Halipwi mtu hapa mpaka kieleweke. Tumechoka nchi yetu kufanywa shamba la bibi kila kukicha.
Tatizo kila mtu yupo anasema ''halipwi mtu hapa mpaka kieleweke''..mara..''issue hii haikuptia kwenye baraza la Mawaziri....''. Yaani ni vilio tuuuu na hakuna YEYOTE anayechukua hatua zaidi ya kulalamika kwenye vyombo vya habari.
DOWANS watalipwa and we will revert to our business....as usual! Very sad.
Bila maandamano nchi nzima kushinikiza JK na genge lake la mafisadi kuachia ngazi au Bunge kuwafungashia virago vyao ....................we are doomed.....................
Democracy is messy young man. Stick with it and it will deliver. Haya maandamano and blah blah will have a net negative effect on the ultimate goal. Which is Maisha bora kwa kila mtanzania ie Economic Development.
Acheni kujibu hoja kishabiki. Bungeni mko 40, halafu mnajifanya kutoa hoja za kutafuta umaarufu. Mwambie huyu Kafulira apeleke hoja bungeni to ban imported synthetic fibers and subsized pamba kutoka marikani ili wakulima wa kibondo wapate hela ya ukweli. Otherwise aache uhanithi wa kutafuta umaarufu kuleta hoja ambazo zitatupotezea muda with nothing in return.[/Q
Selemani, kwanza kabisa kuwa mwangalifu na lugha kaka, hapo kwenye nyekundu utata mtupu, But kubwa zaidi hata kama CCM wanawabunge wengi hili ni swala linalohusu National interest, hatuwezi kuweka tofauti zetu za itikadi and come together na bunge kuiwajibisha serikari? Ilitakiwa kuwa hivyo kwenye swala muhimu kama hili la DOWNS, lakini wabunge wa CCM wamekwisha anza kunyamazishwa na pinda amewapa semina juzi ya wao kuendelea kuwa rubber stamp wa serikari, this was to be expected kwani CCM sio wawakilishi wa wananchi hivyo kama wanapewa two sides to choose kati ya upande wwa serikari au wananchi basi wabunge wengi wa ccm watasimama na kuheesabiwa upande wa serikari na kumwacha mwananchi na mpiga kura wake akigagaa.
Hivyo basi hicho ndo tunataka kitokea, kwa kafulila kuwasilisha hoja ya kutokuwa na Imani na serikari then wabunge wa CCM wasimame upande wa serikari wahesabiwe hicho ndicho kitakachotokea hata kafulila analifahamu hilo na watu wote wanaojua siasa hiyo ni possition ambayo mwanasiasa yoyote hataki afikie hapo, then ikiwa hivyo CCM watakuwa wamepigwa bao kubwa sana, kwani watawapa rungu wapinzani la kuwatandika mpaka 2015. Kinachofanyika sasa hivi kuwapelekea mashambulizi na wao wanazuia goli lisiingia kwa kunawa mpira ndani ya penalt box.
Leo ndo nimeelewa Selemani hujui siasa kabisa unasema Kafulila anatafuta sifa wakati he is taking the fight to CCM! wewe hukuona Tea Party movement walivyomfanyia OBAMA na few months ago amepoteza Congress kwa Republican, Na kitendo cha Kafulila kutoa msimamo mkali unasaidia to sana for their base and party faithful to get FIRED UP! stay focusedand involved on the process, Sasa kama CCM wataleta mizengwe kuzima hoja isijadiliwe bungeni kwa ubabe basi kuwatoa nishai kwa Nguvu ya Umma ni muhimu.
Kwa kweli siku hizi siwaelewi CCM wanavyoendesha mambo yao they are not systematic as it was used to be.Hapo sasa ndio mwanzo wa mwisho wa CCM na dhuluma Tanzania.
dowans ni ccm, wasipojilipa wamekwisha.
DOWANS ni CCM, WASIPOJILIPA WAMEKWISHA.
Solution ni kuipiga kalenda hukumu hadi watakapoona mmesahau.na wakijilipa wamekwisha !!!
Kwa kweli siku hizi siwaelewi CCM wanavyoendesha mambo yao they are not systematic as it was used to be.
Inaonekana kuna watu wachache tu ndani ya CCM wanaoelewa faida za malipo kutoka Dowan, waliobaki wanaburuzwa tu ili kulinda itifaki ya chama