Ivi huwa mnapenda wanaume wenye sauti zipi?swali la nyongez,eti ni kweli huwa hampendi wakaka ambao hawana sauti yenye besi?
wataje 2 lizzy,nami nataka nijijue niko kundi gan.
Boyz II Men - End Of The Road - YouTube
Nadhani kuna thread kama hii imewasha wahi tolewa hapa..
anyway mi sauti inayoniingiza matatani ni hii ya kwenye huu wimbo
ukisikiliza kuanzia dakika ya 2.37 hiyo ndo sauti niipendayo..
kwanini usingeweka ule wimbo wangu wa cheusi mangala niliokuimbia kule PM kama mfano au sauti yangu haukuipenda?
Sasa nikiwataja itasaidia nini na huwezi kuwasikia?
Ngoja nifikirie mtangazaji mwenye sauti nzuri. . .
Ohhh nadhani yule jamaa anaitwa Reuben Ndege, japo sijamsikia siku nyingi jaribu kumsikiliza utajua.
Sauti inayoelekea kufanana na yangu kwa mwanaume HAPANA aisee. . .bass muhimu.
Gozo mambo ya Pm usiyalete hapa basi.. ntaacha kukujibu
Pm zako teh teh teh teh teh teh lol...
kipande nyingine .. sauti yako mmhh tuiache tu kule kule chumbani..
maana dahhhh watu watazimia eti wakisikia hahahahha lol
Hujambo lakini ??
ukiacha kujibu na mimi nagoma kutuma..kudadeki
mi sijambo hofu kwako mama maua..lol
ukiacha kutuma utakuwa umenipunguzia maumivu ya nani liii...
Gozo na we unaniita mama maua..duhhh
Nyie mambo yenu pelekeni huko PM. . . hatuhitaji kujua kua wewe na Zogo mnapendana sijui mnatongozana.ukiacha kutuma utakuwa umenipunguzia maumivu ya nani liii...
Gozo na we unaniita mama maua..duhhh