Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Yaan nimewaza tu akili zenu zinavyoleta majibu ya faster nikaduwaa
we arent dumb! we think fast, mleta mada kawa mkweli, watu wengine ni too much. ila kuna watu wamesema wao ndio hu enjoy mtu akiwa na ufundi wa kupitiliza, mimi hapana nakuwa uncomfortable kwa kweli
 
we arent dumb! we think fast, mleta mada kawa mkweli, watu wengine ni too much. ila kuna watu wamesema wao ndio hu enjoy mtu akiwa na ufundi wa kupitiliza, mimi hapana nakuwa uncomfortable kwa kweli
Yaan beta uwe tu free kama ulivyo= talking the side (kwa mwanamke)ili km kuna anaependa gogo na wewe ni gogo atakuchukua and virsa versa
 
Kila mtu ana ladha yake, haya mambo huwezi kuwasemea wenzako kirahisi hivyo.

Binafsi pia nilikuwa sipendi first time kukutana na "much know" kwenye hilo zoezi, nilikuwa najihisi nimekutana na kahaba, kumbe kiuhalisia tunachofanya pale ni ukahaba tu.
Nimekupenda bure....agiza kinywaji popote ulipo ntalipa!
 
Yaan beta uwe tu free kama ulivyo= talking the side (kwa mwanamke)ili km kuna anaependa gogo na wewe ni gogo atakuchukua and virsa versa
kuwa modest tuu, yaan waname wengi (siyo wote) hatupendi mwanamke anaye jifanya mjuaji kihiiivo na hii ina apply kwenye kila kituu, na wengi wanao jifanyaga walipitia kwa makungwi saanaa ndio huwa wanapigwa hit and run, una muacha akaoneshe uzoefu mbele huko. act in a modesty way usiwe too frighterning
 
Pale nlipokutana na shanga kiunoni nkajenga maswali kichwan kimyakimya......Huyu mwingine nkamkuta kavaa tenge tu na chupi mh nkamezea....huyu nae kataka nijarb na kusukuma tope kha......huyu wa kuja na ky ndio funga kazi......huwa najenga maswali kichwan pas na wao kujua
 
kuwa modest tuu, yaan waname wengi (siyo wote) hatupendi mwanamke anaye jifanya mjuaji kihiiivo na hii ina apply kwenye kila kituu, na wengi wanao jifanyaga walipitia kwa makungwi saanaa ndio huwa wanapigwa hit and run, una muacha akaoneshe uzoefu mbele huko. act in a modesty way usiwe too frighterning
Kwa kusema ukweli kuna fact hapo. Tutabisha sana ila kuna ukweli kbsa.
 
Mmmmh madem wengne nao wanazidi, mambo mengi sn 6x6 hlf mengne yani ht hakuulizi, mwngne akiona kende utadhani kaona sungwi...fasta kazitumbukiza mdomoni na kuanza kukamua, wengne huwa znauma kinoumer jmn....me huwa nawaambia ukweli "aisee ebu achana na hizo makitu we nyonya dushe tu!"

Mwingne yy alinifundisha kutulia; tukianza mambo yetu shughuli yoote anataka nimwachie, yaan mm kaz yng ni kuhakikisha dushe iwe imara hadi atakapofika kibo, sasa sometym najisahau najikuta nmekata mauno kw utamu anamind kishenz "nmekwambia tulia" yan anataka niwe km kikunio cha nazi, yy ndo ajizungushe pande zote
 
Hahaaa haya mambo ya Zubeda haya yaani ni balaaaa miuno mpaka napata homa..mhhh nikatafakariiii bora nioe mlokole wangu mama byera
 
Wanaume wanaompinga mleta mada bado akili zenu hazijawaza ndoa na kutulia chini kuanza maisha.
Bado mpo kwenye kuwaza performance ya kitandani ndo kila kitu kwa mwanamke.

Mauno ya kitandani hayalei watoto wako,,hayawapi wanao maadili mema,hayakupikii chakula,hayakuandalii mahali pa kulala upate kupumzika wala hayakuandai wewe unapotaka kutoka.

Kama ni hivo wanawake wengi wangekua walio wazuri kitandani washaolewa,magogo yamebaki yanahangaika kujifunza mautundu.

Ndoa is beyond viuno kitandani..

Umenena vyema kabisa @ Mdau!
 
Kwa taarifa yenu tu akina dada, ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake ambao hawajatumika sana ktk migegedo. Japo ni ngumu kuwatambua lkn wengi wao wamekuwa wakiwapima kwa utundu wao kwenye 6*6.

Mdada unakutana kwa mara ya kwanza kimapenzi na mwanaume X, mwenye malengo ya kuoa. Lkn unakiachia kitumbua chako wazi kama screen. Unavua nguo zote na kubakia na hakuna halafu upo comfortable kana kwamba mnajuana miaka kumi iliyopita. Huyu hatakuoa maana umemtisha na hiyo over confidence ya kuachia nyuchi kiasi hicho.

Wakati wa romance mara moja unakimbilia kunyonya dushe. Mmh! Hii wanaume wengi wanataka lkn si kwa mke wa kuoa. Huolewi hata na wa Kolomije.

Kujigeuza geuza hovyo na kutangulia kutoa mapendekezo ya style.

Kwa kufanya haya yote unampa huyo mwanaume maswali mengi kichwani. Kwamba umahili huo hujazaliwa nao, bali umajifunza. Sasa umefunzwa na nani? Na kwa muda gani? Anaishia kukuweka kwenye kundi la makahaba.

Jifanye mjinga kiasi, punguza maujanja ili ucheze ngoma kwa beat la kawaida.
Mkuu umefanya research au???
 
Acha kudangany wenzako bhana. Binafsi nilishawahi kuwa na demu mkali lakni kitandani alikuwa hovyo kabsa. Nilisex naye three times na nikawa namlalamikia juu ya hilo. Baadae nikaachana naye Kwa sababu alikuwa hawezi kuniridhisha. Nashkuru nilimwambia ukweli sababu ya kuachana naye
 
Back
Top Bottom