😅😂😅😂 kujituma kitandani sio kipimo cha kuja kuwa mke bora,kuna vitu vya muhimu zaidi kama upendo,huruma,uvumilivu,kutokua na gubu nk. Ndoa yoyote iliyopitishwa kwa sababu ya mauno lazima ije kuwa na shida nyingi. Ndiyo maana men hawamind kuoa bikra asiyejua kitu kwa sababu utaalam wa ngono kwa mwanamke sio jiwe muhimu kwenye taasisi ya ndoa .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.