BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
ni maisha yamechagua ivyo au ni uzembe wenu tu??
kwa nn mdada (wasichana) unakua na kitambi aise...
huna hata mtt wa dawa...tumbo kule...
mnakula nn??
au mani*?? zimewazidi?
sasa baba kitambii...mama kitambiii...watoto wa cku hizi nao mule mule...
tunashindana?
nyie ni warembo sana...
ila mkiachia tumbo mnaharibu kila kitu..
hujui mbele wap nyuma wapi...
wenye watoto nawasamehe...
psssiiiixxxxiii!!
kwa nn mdada (wasichana) unakua na kitambi aise...
huna hata mtt wa dawa...tumbo kule...
mnakula nn??
au mani*?? zimewazidi?
sasa baba kitambii...mama kitambiii...watoto wa cku hizi nao mule mule...
tunashindana?
nyie ni warembo sana...
ila mkiachia tumbo mnaharibu kila kitu..
hujui mbele wap nyuma wapi...
wenye watoto nawasamehe...
psssiiiixxxxiii!!