ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
acha kuwaongopea wenzio kitambi kwa mwanamke hakipendezi hata kidogo!! ..... mwanamke anakakua kama ana mimba muda wote!!kha.Ee kweli,kazi ipo,kwani kwa mfano kama ninacho unanisaidia kubeba si changu mwenyewe wewe kinakuuma nini?we tafuta asie nacho kama hupendi lakini kila m2 kwa raha zake,mi nlijua umekuja na point za kinachosababisha kumbe una yako!niache kula kwa raha eti naogopa kitambi kha,halafu nyie mnalia kitambi kitambi wengne Mungu ana makusudi yake embu pata picha nina matiti makubwa halafu tumbo sina kabisa how do i look,proportion inahusu pia,
MP.