bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Mkiniona Mimi mume ame cheat na nikajua kwa uyakini usio shaka na nikaendelea kuwa nae, njooni mnicharaze bakora....
hahahaaaa wee haya wee siku hiyo tusisikie tu jamani eeh kumwacha siwezi hata na iweje....
unamkumbuka yule aliletewa mke mwenza akajinyenyekeza hadi akahurumiwa....?:crazy: