Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Jana kuna mtu alisema hawezi divorce sababu ya stigma inayo wakumba divorcees. No matter how unhappy the marriage gets, people have to hang on
Sijui nielezeeje hapa unipate vizuri, kuna ugumu sana kumwacha mtu mliyeishi naye let say miaka 10, ni tofauti na kuacha bf/gf
Khaaa! Hivi huwa kuna stigma eeh?...
Hawa ndio wale wanaishi watu wapendavyo na sio wao wapendavyo...chakufia kwenye ndoa ni nini?
Waulize mama zetu na baba zetu cha kufia kwenye ndoa nini watakuelewesha labda. Hasa kwa mwana mke akiolewa anabeba bendera ya ukoo. Akiachika utasikia, watoto wa Mzee X huwa wanaachika. Utakuwa umedrag down the whole family, unadhani Mzee gani atakubali hili? Achia mbali watu wa mbali, shughuli kubwa huanzia kwenye familia yako mwenyewe.
Sasa hapo ndo utagundua vile wengi wetu hatuishi maisha yetu bali ya watu wengine...
Tunafikiria tu hivi jamii itanielewaje mimi nikiachana na mume wangu? Yaani hujIjali binafsi unapitia mangapi kwenye hiyo ndoa na maumivu mangapi unayapata.....
Oh well...in that case one has to hang on in there!
Refer nilivyomjibu Sweetlady
Lakini on top of that hasa kwa mwanamke anakuwa na hofu ya kuacha watoto wake maana by default setting watoto wanabaki na baba. Akifikiria kuwaacha waje walelewe na mama wa kambo kuna hof inaingia inabidi kubaki na kuvumilia tu.
Stigma ipo. Na bora hata ukipewa wewe talaka watu wanaweza kukuonea huruma, lakini uidai wewe!
Utaambiwa "mwanamke mpumbavu......."
Na inawezekana watu wa familia yako ndio wakakusulubu zaidi.
Hebu fikiria kwenye jamii zinazopokea mahari kubwa, ukiachika maana yake ile mahari yote irudishwe.
Let say ulitolewa mahari ng'ombe 50, ni mzazi gani anataka zirudishwe eti kisa umeshindwa kuvumilia mume Kacheat?
Na unaweza kuta polygamy is allowed.
Ni kweli, lakini sio rahisi kihivyo, labda generation ya watoto wetu, lakini kwa sasa bado % kubwa haiwezi vunja ndoa kirahisi hivi.But somehow ni bora tabu ya stigma, inaisha as soon as you live a happy life again. Tabu ya ndoa mbaya is for life!