the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
- Thread starter
- #61
]ongeza mkuyati ktk famasi yako
KUNA HOJA NTAILETA KUHUSU kile kinachowapata hawa watumia mikuyati kwa mara za kwanza,kuna madawa mengi yanayofanya kazi katika mfumo wa mkuyati( ongeza nguvu za game la kiutu uzima),kuna jamaa niliwapa ovadozi nlipokuwa naanza kazi kwa makosa wakakoma kuzitumiaga.(ikumbukwe kwenye matibabu uzoefu unaumuhimu mkubwa mwanzoni lazma utakosea kidogo ila with time unakuwa fiti kwa hiyo kumwovadozi ilikuwa bahati mbaya)