LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
mimi ni clinical officer jioni nakuwa pharmacy nkihudumia wateja wengi ni wadada, for successful conduct ni lazma wateja wawe maswahibwa na washkaji zako,KUNA WAKATI MAONGEZI YANAVUKA MAADILI NA WADADA HUNIAELEZA WAUME ZAO,kwa kila aliyewahi kuwa na idadi kadhaa hakosi mchagaa, hivi hawa waume wa kichagga si washambaa kwa nini wadada hamsalimiki kwao?
Maswahiba na washikaji zako wa kupiga umbea sio.
Yani kwanza unaanza je?
Mmmm mwanaume mmbeyaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Naomba nisikutane na mwanaume mwenye umbea kama huu.
Umbea wa wanaume ni huu.
Jinsi ya kupata nyumba au kiwanja.
Jinsi ya kumnunulia waifu gari.
JInsi ya kufungua biashara kubwa yenye ushindani sio kifamasi cha kupigia umbea...
Umesikia ee, uache umbea wa kijinga.