Hodi nyumba hii, nimeona baby............ hiyo mbona ya kawaida tu! mimi huwa nina tabia hiyo ya kuonyeshea vinavyovutia mtaani..................... na lazima aangalie na discussion itakuwa kwa sana tu
Hahaha tamaa mbayaa, kwa hiyo ukiwa na demu wako akikatisha demu mwingine utageuka?