Wig kuanguka baada ya kunata kwenye mlango?? How yaani
Tupia kavideo
Huwa unavaa wigi kwani....@rubii
Picha Iko wapiLeo nimeshuhudia wigi la mdada limeanguka baada ya kunata kwenye mlango,aisee ki ukwel ana kichwa kibaya saaaaanaa.
MY TAKE
Kama ni mdada na unavaa mawigi ongeza umakini usije kuaibika kama una kichwa kibaya.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Leo nimeshuhudia wigi la mdada limeanguka baada ya kunata kwenye mlango,aisee ki ukwel ana kichwa kibaya saaaaanaa.
MY TAKE
Kama ni mdada na unavaa mawigi ongeza umakini usije kuaibika kama una kichwa kibaya.
Huyu havaagi hayo ni pisi mzee inakaa na nywele fupi😄😄😄 ngoja kina Depal waje...
Hii mi siijui hii totoz hivi huku jf mnajuana kweli maana mi ninamjua pisi moja tu humu 😅Huyu havaagi hayo ni pisi mzee inakaa na nywele fupi
Chai hiiKuna mmoja nilimpata club mzuri sanaaa, Asubuhi naamka naona kichwa kimejaa mabaka kama drafti. Nilipiga kelele nikasema chizi kaingia nyumbani kwangu😂😂