Wadada mnaovaa mawigi kuweni makini mnapopita kwenye hii milango ya kisasa

FB_IMG_16876056504873326.jpg
 
Na uvundo pia, wazingatie usafi.

Utakuta mdada anatinga wigi hilo hilo kila siku mpaka linamea magaga ya ngozi ya kichwa. Ukilikung'uta linatoka vumbi kama gunia la ngano iliyokobolewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom