kwangu kipanya anashika nambari 1 anafuatia kingo halafumpangala a.k.a kijasti ! vp kwa upande wako mdau wa katuni?
Kipanya. . .then wengne wanajitutumua
gado mzee wa katuni za KIDHUNGU!!!!!!!
hasa linapokuja suala la siasa jamaa haogopi aisee anagoga kunakohusika, na akig'ang'ania issue haiachi mapema mf mgao wa umeme alichora katuni za giza mpaka basi.huyuni zaidi ya waandishi wa Makala ndefu zisizokuwa na hoja!!!!
kipanya yuko juuuuuu