Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 509
Ndugu wana Jf, naomba niwasilishe hoja hii kwenu, nilfanikiwa kufika katika mradi huo nilichokiona, hata mhesabu trip za mchanga katoka china, wasimamizi wa vibarua ni wachina halafu waliowengi hawana elimu. Je, swali sasa wanaingiaje inchini hawa, kw vigezo gani. maana kazi wanazofanya watanzania wapo wengi sana naamini. Uhamiaji wanafanya nini au ni kugonga mihuri tu bila kujua kwa vile wachina hawa niliambiwa kwa rushwa wanaongoza, maana wamegundua sumu ya mtanzania ni rushwa. hawa wachina wapo mradi wa barabara tanga horohoro. naomba mulijadili hili la sivyo ajira zote zinaenda kwa wageni wakati wazawa wenye fani hizo wapo
Vitendo vya baadhi ya Watanzania wenzetu vimesababisha hasara kwa makampuni ya kigeni..tuendelee kulalamika kwa sababu ndicho pekee tunachomudu.