Wachezaji wa timu za Tanzania hawaimbi kabisa nyimbo za Taifa

uhurumoja

JF-Expert Member
Mar 2, 2014
5,305
9,497
Zanzibar wana wimbo wa Taifa ila naangalia hapa U 18 watoto wao hawaimbi kabisa huo wimbo, vivyo hivyo hivyo kwa Tanganyika ambapo nimeangalia na kuona watoto hawaimbi kabisa wimbo unapopigwa tofauti na wa Ethiopia na Waganda ambao wao huimba kwa hisia kali nyimbo zao za taifa.

Nadhani uzalendo wa bendera na wimbo wa Taifa sasa unapotea na huko mbeleni tutakuwa na brass band tu ikiimba.
 
Eeh yaan now days watoto wanajua nyimbo za zuchu mwanzo mwisho Ila nymbo ya taifa hawajui
Labda ibadilishiwe version iwe amapiano
 
Wangeweka za chinno wana man.. juzi kati nipo kwenye daladala, nikaona mshikaji kapanda na mkewe na mtoto mdogo, hawakupata siti, nikamchukua yule bwana mdogo kuwasiaida. Dogo ni kama miaka mi3 ama 4 hivi.. ila ikapigwa ngoma ya bongofleva siikumbuki, ila dogo akwa anatambaa nayo kama vile yeye ndio alimtungia yule msanii🤣
Eeh yaan now days watoto wanajua nyimbo za zuchu mwanzo mwisho Ila nymbo ya taifa hawajui
Labda ibadilishiwe version iwe amapiano
 
Wangeweka za chinno wana man.. juzi kati nipo kwenye daladala, nikaona mshikaji kapanda na mkewe na mtoto mdogo, hawakupata siti, nikamchukua yule bwana mdogo kuwasiaida. Dogo ni kama miaka mi3 ama 4 hivi.. ila ikapigwa ngoma ya bongofleva siikumbuki, ila dogo akwa anatambaa nayo kama vile yeye ndio alimtungia yule msanii🤣
Daaah nihatar ndy maana wasanii wanakua kibao kumbe wanaanzia utoton
 
Back
Top Bottom