Naanza kwa kuwapa pole sana wahanga wa matokeo ya kidato cha4.
Kuna sababu kibao zilizo sababisha watoto kufeli ila mimi binafsi ninasababu kuu mbili ambazo naamini zaidi ya 90% zimesababisha matokeo mabovu;
1. Uwajibikaji wa viongozi wa selika na utekelezaji wa sela ya elimu, hili naona ndio tatizo kubwa ambaro linafanywa makusudi kwakua tu watoto wa vigogo wote hawasomi shule za selikali, ili kupunguza upinzani katika ukanda wa ajira na uongozi kwa ujumla, hivyo viongozi kuendelea kufisadi pesa za elimu bila hata shaka kwa kuwa viongozi wote wajuu haiwagusi sana kwa kuwa familia zao husomea inje au st.
2. Maslahi ya walimu hili ni tatizo kubwa mno tunapiga kelele maabala, maktaba, wingi wa wanafunzi darasani, nk lakini hizi zote hazifikii maslahi ya walimu mfano tunapiga kelele maabala mbona watoto wamefeli hadi kiswahili au nacho kinahitaji maabara, Inasikitisha sana kusikia kiongozi wa selikali kusema haiwezekani kuongeza mshahara wa walimu!
Kama enzi za mwalimu walimu walilipwa pesa za kukidhi mahitaji yao vizuri kwa pesa za pamba, korosho na katani, iweje leo kuna pamba, katani, korosho, utalii unafanya vizuri, uvuvi, madini kibao yanachibwa, bandari iko vizuri, na kodi za bidhaa ambazo ziko juu sana kuliko wakati wowote wa miaka 50 ya uhuru, eti inashindikana kuongeza mshahala, kipato cha mwalimu sasa hivi hakina utofauti na muuza mchicha pale kariako, kweli inawezekana kufundisha vizuri mwalimu huku akiwa yeye ndie muuza karanga na mandazi shuleni, leo hii tunapiga kelele hakuna ukaguzi mashule je?
Kwa hiki kipato unaweza kumlimiti mwalimu ahudhurie shule kila siku badala ya kutafuta ridhiki sehemu nyingine sanasana atakwambia potelea mbali wakinifukuza nitafungua genge na hayo ndiyo yanayo wakuta walimu wakiomba ruhusa ya kwenda kusoma wakikataliwa tu wanatoroka kwa mantiki ya rorote liwe kwanza maslahi yenyewe madogo.
Suruhisho inabidi kwenye katiba tuweke kipengele kinacho piga marufuku mtoto wa kiongozi yeyote wa selikali lazima asome shule za selikali, hii itaongeza uwajibikaji kwani hawa ndio wachawi wa elimu yetu.
Ninaamini mtoto wa raisi akipata zero viongozi kibao watajiuzuri kwa hofu lakini leo hii matokeo ambayo yawezekana yamevunja record ya dunia hata kiongozi mmoja hajajiudhuru, hii ni kwa kuwa familia za watu wanao ogopwa zote ziko salama kwa hili tatizo.
Asanteni Mungu ibariki elimu yetu, Mungu ibaliki Tanzania
Kuna sababu kibao zilizo sababisha watoto kufeli ila mimi binafsi ninasababu kuu mbili ambazo naamini zaidi ya 90% zimesababisha matokeo mabovu;
1. Uwajibikaji wa viongozi wa selika na utekelezaji wa sela ya elimu, hili naona ndio tatizo kubwa ambaro linafanywa makusudi kwakua tu watoto wa vigogo wote hawasomi shule za selikali, ili kupunguza upinzani katika ukanda wa ajira na uongozi kwa ujumla, hivyo viongozi kuendelea kufisadi pesa za elimu bila hata shaka kwa kuwa viongozi wote wajuu haiwagusi sana kwa kuwa familia zao husomea inje au st.
2. Maslahi ya walimu hili ni tatizo kubwa mno tunapiga kelele maabala, maktaba, wingi wa wanafunzi darasani, nk lakini hizi zote hazifikii maslahi ya walimu mfano tunapiga kelele maabala mbona watoto wamefeli hadi kiswahili au nacho kinahitaji maabara, Inasikitisha sana kusikia kiongozi wa selikali kusema haiwezekani kuongeza mshahara wa walimu!
Kama enzi za mwalimu walimu walilipwa pesa za kukidhi mahitaji yao vizuri kwa pesa za pamba, korosho na katani, iweje leo kuna pamba, katani, korosho, utalii unafanya vizuri, uvuvi, madini kibao yanachibwa, bandari iko vizuri, na kodi za bidhaa ambazo ziko juu sana kuliko wakati wowote wa miaka 50 ya uhuru, eti inashindikana kuongeza mshahala, kipato cha mwalimu sasa hivi hakina utofauti na muuza mchicha pale kariako, kweli inawezekana kufundisha vizuri mwalimu huku akiwa yeye ndie muuza karanga na mandazi shuleni, leo hii tunapiga kelele hakuna ukaguzi mashule je?
Kwa hiki kipato unaweza kumlimiti mwalimu ahudhurie shule kila siku badala ya kutafuta ridhiki sehemu nyingine sanasana atakwambia potelea mbali wakinifukuza nitafungua genge na hayo ndiyo yanayo wakuta walimu wakiomba ruhusa ya kwenda kusoma wakikataliwa tu wanatoroka kwa mantiki ya rorote liwe kwanza maslahi yenyewe madogo.
Suruhisho inabidi kwenye katiba tuweke kipengele kinacho piga marufuku mtoto wa kiongozi yeyote wa selikali lazima asome shule za selikali, hii itaongeza uwajibikaji kwani hawa ndio wachawi wa elimu yetu.
Ninaamini mtoto wa raisi akipata zero viongozi kibao watajiuzuri kwa hofu lakini leo hii matokeo ambayo yawezekana yamevunja record ya dunia hata kiongozi mmoja hajajiudhuru, hii ni kwa kuwa familia za watu wanao ogopwa zote ziko salama kwa hili tatizo.
Asanteni Mungu ibariki elimu yetu, Mungu ibaliki Tanzania