MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,444
Niko Moshi mida hii, aiseee wachagga wanajua kula Bata. Na pia Wana mshikamano na upendo. Huku ni chupa juu ya chupa. Mbuzi hadi nawaonea huruma, halafu utaratibu ni ule ule kila nyumba.
Hii ikanikumbusha juu ya uaminifu walionao ndugu zetu kutoka milimani Kilimanjaro.
Mchagga ni mtu pekee au mmoja ya watu wachache ambaye kabla ya kufa ukimuachia bilioni 5 ili aje ampatie mwanao akifikisha miaka 21 .mwanao akifikisha umri huo lazima hiyo hela ataipata yote.
Ukifanya nao partnership kwenye biashara hakutakuwa na mbambamba, sijui kutapeliana wala nn.
Sijawahi kusikia mchagga katapeli kiwanja sehemu yoyote ile. Huwa vitu vyao wanapambania kwa jasho lao. Hamna dhulma.
Hata dada zao hawawezi kufanya ujinga wowote ule kwa waume zao eti kwa sababu ya tamaa za mali. Ukioa mchagga hasa hawa wa upande wa Machame, hata ukiwa Bakhresa lazima uzeeke na wife pamoja.
Wakuu tutaonana Dodoma tarehe 2 baada ya kumaliza Bata pande hizi. Wachagga mbarikiwe Sana ndg zangu.
Hii ikanikumbusha juu ya uaminifu walionao ndugu zetu kutoka milimani Kilimanjaro.
Mchagga ni mtu pekee au mmoja ya watu wachache ambaye kabla ya kufa ukimuachia bilioni 5 ili aje ampatie mwanao akifikisha miaka 21 .mwanao akifikisha umri huo lazima hiyo hela ataipata yote.
Ukifanya nao partnership kwenye biashara hakutakuwa na mbambamba, sijui kutapeliana wala nn.
Sijawahi kusikia mchagga katapeli kiwanja sehemu yoyote ile. Huwa vitu vyao wanapambania kwa jasho lao. Hamna dhulma.
Hata dada zao hawawezi kufanya ujinga wowote ule kwa waume zao eti kwa sababu ya tamaa za mali. Ukioa mchagga hasa hawa wa upande wa Machame, hata ukiwa Bakhresa lazima uzeeke na wife pamoja.
Wakuu tutaonana Dodoma tarehe 2 baada ya kumaliza Bata pande hizi. Wachagga mbarikiwe Sana ndg zangu.