Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
Mangi kakamatwa na askari.alipofika kituoni mambo yalikuwa ivi.
Askari ...unaitwa nani?
Mchaga ... Mboya afande!
Askari... Wacha kufanya utani na chombo cha usalama.untaja sehemu zangu za siri.
Mchaga .. Hapana ilo ndilo jina langu babangu naitwa mboya afande.
Wacha jamaa achezee kichapo baadae ndo anasema mi naitwa
mr mboya
Askari ...unaitwa nani?
Mchaga ... Mboya afande!
Askari... Wacha kufanya utani na chombo cha usalama.untaja sehemu zangu za siri.
Mchaga .. Hapana ilo ndilo jina langu babangu naitwa mboya afande.
Wacha jamaa achezee kichapo baadae ndo anasema mi naitwa
mr mboya