Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
habari za kuaminika sasa hivi wabunge wote wa ccm wameitwa dodoma kuandaa na kuweka mkakati wa pamoja juu ya dowans. Nia ni kuzibwa midomo na imetamkwa kwamba dowans ina masilahi gani na kila jimbo la mbunge.
Baraza la mawaziri limeazimia hakuna kujadili suala hilo.
Taarifa hizi nimepata toka kwa mmoja wa wabunge akiwa anajiandaa kuelekea dodoma.
nashauri wasomaji wetu kabla ya kuingia kwenye article kama hizi kuwa karibu na kikombe ya maziwa kwani habari zingine hazina tofauti na sumu hivyo ukiona yanakuzidi dilute na maziwa