Wabunge wetu wa UKAWA wakitoka nje bungeni huenda wapi?

Huna hoja, ni hivi kwa taarifa yako hapo bungeni ni sehemu ya kula hela za wananchi bila faida. Hilo bunge halina impact yoyote kwa wananchi zaidi ya kufuata utaratibu tu wa kuwa na bunge. Hayo malumbano wanayoleta wangalau wapinzani ndio hata wananchi wanaona wangalau kuna bunge. Lakini sikufichi wabunge wa upinzani wakiwa hawapo kinachoendelea hapo bungeni ni porojo ambazo serekali inatekeleza kwa kupenda na sio kufuata matakwa ya wananchi.
Mkuu usiponde bure, and don't take thing for granted
Someni alama za nyakati. For your information, wananchi wana imani hata bila msukumo wa wapinzani, safari hii hakuna madudu yanapitishwa humo hata kama watabaki ccm peke yao. Narudia tena ushauri wangu, someni alama za nyakati, mtaaribu kwa wananchi mkiendelea na tabia hiyo.
 
Mbona nimeongea mengi? Mkuu nataka kujua tu kama ka kodi kangu wanakatafuna kihalali bila kusahau kupata uelewa wa kama kura yangu wanaitendea haki

Wabunge wa Upinzani wametoka Bungeni lakini ebu tuambie hao wa CCM waliobaki Bungeni na wanatumia kodi zetu wamefanya nini? au wamejadili nini ambacho kina manufaa na Taifa hili?
 
Mkuu usiponde bure, and don't take thing for granted
Someni alama za nyakati. For your information, wananchi wana imani hata bila msukumo wa wapinzani, safari hii hakuna madudu yanapitishwa humo hata kama watabaki ccm peke yao. Narudia tena ushauri wangu, someni alama za nyakati, mtaaribu kwa wananchi mkiendelea na tabia hiyo.

Mkuu kama kweli kuna mazuri hivyo kinachofanya live isiwepo ni nini? Umeangukia kwenye hiii fashion ya kusifia kila kinachofanywa na serekali ya Magufuli. Ni haki yako kufuata mkumbo kwani ndio demokrasia. Mimi nasifu panapostahili na sio kusifia tu kama fashion. Mpaka sasa sioni mwelekeo ulio wazi wa serekali ya Magufuli zaidi ya vitisho kwa watumishi wa umma na kuungalia nani ashughulikiwe. Bado maisha ni magumu kwa mwananchi wa kawaida hasa mkulima. Hata hayo mafuta yaliyoshuka bei dhahiri kwenye soko la dunia bado hapa nchini hayajashuka zaidi ya mamlaka husika kujitokeza na kumwaga ahadi ya kushusha. Nilitarajia hii bei ya umeme ambayo imeshapigiwa kelele kwamba tunalipishwa ghali kitapeli tupate jibu lakini naona ni yaleyale. Hata ukiamua kusifia na kulishwa imani na makada wa ccm mengine uwe unajiuliza basi. Hebu nikuulize, ni kiongozi gani aliwahi kuingia madarakani hapa nchini na hakumwaga mbwembwe za kurekebisha maisha ya wananchi? Tofauti ya huyu na hao wengine wangalau kaweza kuwawajibisha baadhi ya watumishi wa umma na wafanyabiashara tena ambao hata taarifa zao hatuzipati kwa uwazi.
 
Ni mara kadhaa wabunge wetu wa upinzani huamua kutoka nje ya vikao baada ya kutofautiana na wenzao. Eitha hutoka kwa vurugu au kwa amani kama ilivyokuwa leo.

Sasa nataka kujua huwa wanaelekea wapi na je kale ka posho huwa wanachukua kote au nusu? Walau huyu wa kwetu huwa namuona anarudi ila sijapata muda wa kumuuliza huenda wapi akisusiaga vikao.

Tujulishane hapa ili tuone kama hizo shughuli wanazoziendea huwa zinajenga nchi au huwa ni za maslahi ya nani.
 
Ni mara kadhaa wabunge wetu wa upinzani huamua kutoka nje ya vikao baada ya kutofautiana na wenzao. Eitha hutoka kwa vurugu au kwa amani kama ilivyokuwa leo.

Sasa nataka kujua huwa wanaelekea wapi na je kale ka posho huwa wanachukua kote au nusu? Walau huyu wa kwetu huwa namuona anarudi ila sijapata muda wa kumuuliza huenda wapi akisusiaga vikao.

Tujulishane hapa ili tuone kama hizo shughuli wanazoziendea huwa zinajenga nchi au huwa ni za maslahi ya nani.
Tatizo lako unataka wafikiri kijinga kama wewe. Wakati Zitto aliposimamishwa Bunge kwa tuhumu za Buzwagi watu kama ww walimwona hana akili lakini mda mfupi ukweli ukajulikana MUNGU akathibitisha ukweli mbele ya wanafiki. Lakini ipo siku utatambua lengo la Wabunge wa ukawa kutoka nje ya Bunge. Kwa dunia ya sasa huwezi tawakla watu kwa mfumo usotaka uwazi, uwajibikaji na haki za wananchi. Nilidhani ccm wangefurahia mambo mema wanayoyatenda kwa kuwa wananchi wao wanayashuhudia kupitia TV. Wanataka kuficha nini? Ukipika chakula ukakifunika na kuwazuia watoto wasikifunue hakika ni kuwa watakifunua kwa siri ili kujua ukweli wake.
 
maswali mengine ni yakipuuzi sana. na hili ni moja wapo.
tunadhani wewe ndio mpuuzi. hivi kweli ukiwa kama mlipaji pesa za wabunge, pesa za walala hoi! hutaki kujua mfanyakazi wako uliyemuajiri hua anakwenda wapi? ? khaaaaa! !! inawezekana wanaenda kupiga dili la kazi nyingine ili kujiongezea kipato. kwa hiyo waziwazi wanaacha kukutumikia muajiri wanaenda kufanya biashara binafsi na wewe unaendel
Pole ndugu yangu kwa kuendekeza propaganda za kizee. Aliyekuambia bunge lina nguvu nchi hiii ni nani? Bunge kwa ujumla wake bila kujali wabunge wa upinzani wala wa ccm hawana chochote wanachoweza kuamua na serekali ikatekeleza zaidi ya maswali na majibu bila utekelezaji. Hebu niambie ni maazimio mangapi yamepitishwa na bunge na bado serekali haitekelezi ama inatekeleza inavyotaka. Ni budget ngapi zinapitishwa na bunge lakini utekelezaji wake ni tofauti na bunge lilivyopitisha? Kwa taarifa yako bunge ni eneo lingine la kula hela za wananchi bila faida japo lipo kisheria.
kamanda kwa hiyo unapendekeza Bunge lifutwe na pesa ipelekwe kwa shule na mahospitali kununulia vifaa, dawa n.k
 
Ni mara kadhaa wabunge wetu wa upinzani huamua kutoka nje ya vikao baada ya kutofautiana na wenzao. Eitha hutoka kwa vurugu au kwa amani kama ilivyokuwa leo.

Sasa nataka kujua huwa wanaelekea wapi na je kale ka posho huwa wanachukua kote au nusu? Walau huyu wa kwetu huwa namuona anarudi ila sijapata muda wa kumuuliza huenda wapi akisusiaga vikao.

Tujulishane hapa ili tuone kama hizo shughuli wanazoziendea huwa zinajenga nchi au huwa ni za maslahi ya nani.
Wanaenda kupiga viroba. Umefurahi?
 
acha ujinga swali gani hilo. unajua kuwa pesa za wanyonge ndio zinatumika kulipia mahela yao. ungekuwa unalipa wewe ungekubali kukaa kimya bila kuuliza wanafanya kazi gani nje ya sehemu yao ya kazi ???

Samahi best sikujua kama Nina ujinga ndo kwanza wewe uniambia leo. Na pia nadhani unahitaji msaada usione haya kuomba msaada
 
Ni mara kadhaa wabunge wetu wa upinzani huamua kutoka nje ya vikao baada ya kutofautiana na wenzao. Eitha hutoka kwa vurugu au kwa amani kama ilivyokuwa leo.

Sasa nataka kujua huwa wanaelekea wapi na je kale ka posho huwa wanachukua kote au nusu? Walau huyu wa kwetu huwa namuona anarudi ila sijapata muda wa kumuuliza huenda wapi akisusiaga vikao.

Tujulishane hapa ili tuone kama hizo shughuli wanazoziendea huwa zinajenga nchi au huwa ni za maslahi ya nani.
Huwa nasikia ushia kwenda kwenye kumbe za starehe hapo Dodoma!
 
Uwiiiii!wakuu hii ni biashara kule mnadani wasiende tena mm naanzisha duka maeneo ya bunge opposite na cbe hapo nitawauzia wabunge wanaochoropoka bungeni kama hawa wa ukawa vitu vyao kama cha arusha, mbeya(bangi) gongo ulanzi nk kuna wateja wakorofi kama kubinuka, sungwi, lijua baridi, na huyu mbata hawa watavipata kwa bei nafuu zaidi maana najua wakishavipata watarudi bungeni na huyu kubinuka ninavyomjua akishapa cha arusha atangangania akae kiti cha ndugwai halima madii yy nitampa cha visiwa vya shelisheli
 
Ni mara kadhaa wabunge wetu wa upinzani huamua kutoka nje ya vikao baada ya kutofautiana na wenzao. Eitha hutoka kwa vurugu au kwa amani kama ilivyokuwa leo.

Sasa nataka kujua huwa wanaelekea wapi na je kale ka posho huwa wanachukua kote au nusu? Walau huyu wa kwetu huwa namuona anarudi ila sijapata muda wa kumuuliza huenda wapi akisusiaga vikao.

Tujulishane hapa ili tuone kama hizo shughuli wanazoziendea huwa zinajenga nchi au huwa ni za maslahi ya nani.
Wengine huenda Capetown, Dodoma Carnival, Roberto, Chako, Rose Garden, Rainbow na wengine tupo nao hapa Master Pub tunakula kilaji
 
Back
Top Bottom