Wabunge wazoa Sh 90mil kila mmoja kujinunulia Magari

Kulipokuwa na tetesi kwamba kuna wabunge walitakakuhöngwa zaidi ya Mil. 300 iliwawapishe walioshindwa.........Ni lazima utambue Mbunge anapata pesa kibao zaidi ya hizi zinazowekwa nadharani
 
shame on them,nawalaani wooote waliopokea,hata kama wachadema nao wamepokea tena wao ndo nawalaani zaidi!!!!Lema,mbowe,sweetheart wangu mdee na mylove wangu mnyika nawaalani pia kama mmekubali hizo hela za wanyanganyi hao inhali mwajua nchi yetu na hali za watanzania zilivo ngumu!!Naomba muwe mfano......

Hela hizo mzipeleke kwenye huduma za jamii,zito kigoma watt wanakalia mawe darasani tena hata madasa wanasomea ya makuti!!UBAO NDIO HAWANA KABISA......we lema arusha vijana ajira hawana kabisa tumia hela hiyo kufanya miradi utakayotengeneza japo ajira 200...

MMH JAMANI AFYA ETI HOSPITALI BINAFSI KWAHIYO NDOMAANA HAWAZIJALI HOSPITALI ZETU HATA!!!NDO MAANA WAMAMA WAJAWAZITO NA WATOTO WANAKUFA OVYO... NDO MAANA MWANANYAMALA IPO ILIVYO.....SABABU WAO WANATIBIWA TMJ, AGHAKAN....

MMMH.....INAUMA!!!!!!!!!!!!

Sasa ikishakuuma nini utafanya ili kupata suluhisho la kudumu?
 
Unajua sisi WaTanzania ni watu wa ajabu sana. Mh. Lema ametupa inside info ili wote kwa pamoja tuibane serikali yetu inaposema haina pesa kwenye mambo muhimu kama afya, shule nk lakini badala ya kulichukua hili suala kimsingi, tunataka symbolic gestures eti wabunge wa Chadema wakatae huo mkopo itasaidia nini?? Si zitaenda kwenye kuongeza furniture kwenye hekalu la spika linalojengwa???

Suala la msingi hapa ni Je:

1)Mawaziri na manaibu waziri 50 sababu wanatumia magarari na mafuta ya serikali 24/7 si wangenyimwa huo mkopo na kusave appro 5bn???

2) Speaker, Naibu Speaker, Mwanasheria mkuu, Former PM Lowassa, Kiongozi wa upinzani bungeni, Makamu wa raisi Zanzibar na wengine wenye vyeo kwenye vyama kama Chiligati, Makalla ambao wote wanapewa usafiri 24/7 hapo tungesave another 1bn.

3) wabunge wa viti maalaum na wanaochaguliwa na rais sababu hawana majimbo yanayohitaji kuwatembelea wapiga kura wao, nao mkopo NO, waende kwenye mabank kama wananchi wengine kuomba mikopo.

Lakini hata hili la mikopo sip ISSUE kubwa sana Tanzania, UFUJAJI wa hela ZETU unafanyika kwenye huu upumbavu wa posho za vikao. How come U attend a meeting during ur normal working hrs in a city where U live and U are getting a High Salary to begin with, unapewa POSHO YA NINI?? Hapa ndio Hundreds of Billions zinakofujwa kila mwaka.

HILI LI SERIKALI LA CCM linajua matumizi ya kijinga tu, lakini masuala kama Umeme, Maji, Hospitali, Mashule nk Oh no hamna hela.

Wazo zuri lakini CCM ni sikio la kufa. Kwa sasa uongozi wa CCM wanaponda mali kwa mastarehe kwanza kama hamnazo mpaka pesa iishe. Pesa ikiisha tu ndio watakumbuka kukimbilia na kuomba msaada tena IMF na WORLD Bank ili wapewe austerity measures zingine za kubana matumizi. CCM wao wenyewe hawana akili ya kubana matumizi.

Hizo pesa wanazochezea kwa sasa zipo kutokana na serikali imejitoa katika uzalishaji, kuajiri kupita kiasi, kuondoa ruzuku, nk vitu ambavyo ulikua ni ushauri wa IMF&WORLD BANK miaka si mingi iliyopita.
 
shame on them,nawalaani wooote waliopokea,hata kama wachadema nao wamepokea tena wao ndo nawalaani zaidi!!!!Lema,mbowe,sweetheart wangu mdee na mylove wangu mnyika nawaalani pia kama mmekubali hizo hela za wanyanganyi hao inhali mwajua nchi yetu na hali za watanzania zilivo ngumu!!Naomba muwe mfano......

Hela hizo mzipeleke kwenye huduma za jamii,zito kigoma watt wanakalia mawe darasani tena hata madasa wanasomea ya makuti!!UBAO NDIO HAWANA KABISA......we lema arusha vijana ajira hawana kabisa tumia hela hiyo kufanya miradi utakayotengeneza japo ajira 200...

MMH JAMANI AFYA ETI HOSPITALI BINAFSI KWAHIYO NDOMAANA HAWAZIJALI HOSPITALI ZETU HATA!!!NDO MAANA WAMAMA WAJAWAZITO NA WATOTO WANAKUFA OVYO... NDO MAANA MWANANYAMALA IPO ILIVYO.....SABABU WAO WANATIBIWA TMJ, AGHAKAN....

MMMH.....INAUMA!!!!!!!!!!!!

Kwa hili njia pekee kwa wabunge wa CHADEMA ambayo itakua mbadala zaidi ya kutoka nje ya ukumbi wa bunge.Ni kwa wale wabunge tayari wanamagari kuyakataa magari hayo na kwa wale wapya kununua magari yenye nafuu .Au kwa wote kununua magari ya bei nafuu kama ilivyokua katika sera yao na fedha itakayobaki upelekwe kununua magari ya wagonjwa katika majibo yao au kwingineko yanakohitajika.HUU UTAKUA MWANZO WA KUITEKELEZA SERA YA CHADEMA KWA VITENDO.MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
that's what life goes brother,90bn+bima ya afya(private hospitals)+.....nani unategemea atasoma kwa ajili ya weledi isipokuwa kwa ajili ya siasa
 
Wabunge wa CHADEMA kwa kutambua udhaifu na ujinga wa serikali ya CCM,basi hizo milioni 90 za magari mziundie mfuko wa kusaidia matatizo mbalimbali ya waTZ majimboni kwenu. Namaanisha izo pesa msizinunulie magari,bali undeni mfuko(community development fund) wa chama,then pesa iyo iwe inatumika kwa maendeleo ya jamii,hususani kwa kuchangia shughuli mbalimbali za maendeleo. Huo mfuko utaongezea nguvu mfuko wa maendeleo jimboni(CDF).


Na hizo bima za afya zikataeni,kwani ni uchuro tu. Haiwezekani serikali ishindwe kutoa huduma nzuri za afya kwa raia wake wengi,afu iweze kutoa kwa wateule wachache tena kwa gharama kubwa ambayo inaweza kusaidia kuboresha huduma hiyo kwa raia wake wote!

Haya ni mawazo yangu! Kukosolewa kunakaribishwa!
 
Mh. Lema mbunge wa Arusha akatatae hizo milioni 90 ili iwe mfano kwa wabunge wengine na wananchi kwa ujumla!!

Mawazo ya namna hii ndiyo yanaturudisha nyuma, akatae ili iwe nini. Package ya mbunge ndio hiyo, sasa akatae package ambayo anastahili? Hata akikataa, itabadilisha nini. Ningekuelewa kama ungesema badala ya kununua gari lake anunue ambulance kama mzee Ndesamburo
 
that's what life goes brother,90bn+bima ya afya(private hospitals)+.....nani unategemea atasoma kwa ajili ya weledi isipokuwa kwa ajili ya siasa

By the way...hili la bima nadhani tuache kulisemea kwa kuwa wafanyakazi wote wa serikali ni wanachama wa mfuko wa bima na huo mfuko unaruhusu wanachama wake kutibiwa kwenye hospital za private... lakini pia unde puplic-private-partnership na kwenye idara ya afya kuendeleza hospital za puplic na private ni jukumu la wote.
 
Mi ningewaona CHADEMA kama mashujaa kama wangegoma kusaini hizo hela na kujitafutia vyanzo vya usafiri ambavyo siyo lazima kuchukua hela za bunge.
Mfano wabunge waliopo mijini wanachukua magari ya garama namna hiyo ya nini?? WAONYESHE MFANO NASI TUTAWAUNGA MKONO 2015 Siyo wanabwata bwata tu ili tuwaone wazalendo huku wanasaini fedha.
 
Aint we politicising important issues......?, Dr Slaa Tried to go against this issue and failed because he did not have the back-up do you think a few Chadema's MPs (am sure not all of them will want their lifestyles to change) can do this alone??, its up to the voters and taxpayers to say enough is enough and tell their respective MPs that you need to lead a lifestyle that we can afford.. (and that money you are being paid we want it to do something else)..

After all we WANANCHI are the ones who put them there...,

Mkuu if you analyse this carefully we might be the ones to blame..., and we are doing it now instead of giving back-up these MPs who have came up with this we are just blaming them...

Kaka naona I want to say something....kama wewe ni kiongozi usitupe maneno tu, toa mfano....hivi wabunge wote wa CHADEMA wakasema that 90 million kila mmoja wao hawatazipokea kununulia magari......dont you think it will put pressure on wabunge wengine...kuna mbunge mmoja wa Kenya aliwahi kuwasilisha mshahara wake kwa KRA ( Kenya Revenue Authority) ili wamkata kodi, wakati bunge zima walipitisha kuwa wabunge wasikatwe kodi......he showed at least he is willing to, sio kama wengine wanajisaidia kichakani wewe ukasema mimi sina haja ya kutafuta choo na mimi nitajisaidia kichakani pia.....dont bullshit wananchi.....the change starts with even a single individual.....
 
Kaka naona I want to say something....kama wewe ni kiongozi usitupe maneno tu, toa mfano....hivi wabunge wote wa CHADEMA wakasema that 90 million kila mmoja wao hawatazipokea kununulia magari......dont you think it will put pressure on wabunge wengine...kuna mbunge mmoja wa Kenya aliwahi kuwasilisha mshahara wake kwa KRA ( Kenya Revenue Authority) ili wamkata kodi, wakati bunge zima walipitisha kuwa wabunge wasikatwe kodi......he showed at least he is willing to, sio kama wengine wanajisaidia kichakani wewe ukasema mimi sina haja ya kutafuta choo na mimi nitajisaidia kichakani pia.....dont bullshit wananchi.....the change starts with even a single individual.....
Mkuu sikatai kwamba Change starts with a single person, lakini its hard to mobilize watu tofauti wenye maslahi tofauti (even Chadema kuna watu wamekwenda pale to look for numero uno (number one))

Ndio maana nikasema Dr. Slaa alijaribu akakosa support na Lema anajaribu sasa naona anakosa Support. Mkuu watu wa kulaumu ni sisi wenyewe wananchi ambao tunangoja Lema au Dr. Slaa watutetee bila sisi wenyewe kuchukua hatua..., Makosa ni yako, yangu na wananchi wengine ambao tunawaachia wabunge wachote pesa bila kuwaambia kitu wakati sisi ndio wapiga kura na tukisema chochote tuna power ya kuwafanya wafate... ndio maana mkuu nikashauri wananchi wote tusimame side by side..ni sisi Who we can make a Change na Sio kutegemea fisi atulindie Butcher.

Naomba uangalie hapa chini uone ni nini unaweza kufanya
https://www.jamiiforums.com/tanzani...o-decrease-wabunges-salaries-a-must-read.html
 
Kama kweli imewauma kama lema alivyosema,atumie posho yake kwenye kununua ambulance ata mbili.
 
Kama kweli imewauma kama lema alivyosema,atumie posho yake kwenye kununua ambulance ata mbili.
kwani wewe haikuumi nini Mkuu ?
Hata kama angesema Rostam Aziz?, ukweli unabaki palepale kwamba huu ni ufujaji wa pesa na sisi wananchi inabidi tuchukue hatua...,

Leo Mzinzi akisema kwamba ukimwi ni hatari Je hautakuwa hatari sababu yeye ni Mzinzi ???
 
Mkuu sikatai kwamba Change starts with a single person, lakini its hard to mobilize watu tofauti wenye maslahi tofauti (even Chadema kuna watu wamekwenda pale to look for numero uno (number one))

Ndio maana nikasema Dr. Slaa alijaribu akakosa support na Lema anajaribu sasa naona anakosa Support. Mkuu watu wa kulaumu ni sisi wenyewe wananchi ambao tunangoja Lema au Dr. Slaa watutetee bila sisi wenyewe kuchukua hatua..., Makosa ni yako, yangu na wananchi wengine ambao tunawaachia wabunge wachote pesa bila kuwaambia kitu wakati sisi ndio wapiga kura na tukisema chochote tuna power ya kuwafanya wafate... ndio maana mkuu nikashauri wananchi wote tusimame side by side..ni sisi Who we can make a Change na Sio kutegemea fisi atulindie Butcher.

Naomba uangalie hapa chini uone ni nini unaweza kufanya
https://www.jamiiforums.com/tanzani...o-decrease-wabunges-salaries-a-must-read.html

Ndugu yangu I do agree, lakini unajua hata Slaa sio mpaka asubiri support, nakumbuka katika suala la nyongeza ya mshahara Slaa alikuwepo kwenye kamati when its decisions of increment for MP's was put into effect basi yeye ndio aliposema ohhh mishahara hii ni mikubwa sana.......tunakubali alichosema but na yeye inabidi akatae tokea wakati ule kuwa hapokei huo mshahara mpya,......you dont need support....regarding wabunge wetu....CHADEMA, CCM, CUF wote hawawezi wakaacha mishahara yao mkuu....i agree with your petition..... na hii petition yako inaweza ikawa effective if we have forms where people can sign......
 
Hii ni kali kweli kweli! ama kweli! hawa watu wamebadilika kabisa yaani sio wale tena ambao walikuwa wanaomba kura zetu wakiwa wameweka mikono nyuma na leo ni mabwana na ni mabosi wa wapiga kura wao. Kwakweli inashangaza kuona hawa watu wanaona kuwa hospitali za serikali hazifai na hawataki watibiwe watawezaje kuzitetea? kwa maana hiyo uwozo wa hizo hospital watakuwa hawaujui.

Inashangaza pia kusikia kauli kuwa serikali haiwezi kongeza hela ya kujikimu kwa wanafunzi kutoka sh 5,000 hadi 10,000 na bado wao wanalipana hela ndefu namna hiyo haieleweki na haiingii akilini hata kidogo! huu ndio tunaoita mgawanyo usio sawa wa keki ya taifa, kitakacho fuata ni kuwaiga wamisri tu!
 
I agree with your petition..... na hii petition yako inaweza ikawa effective if we have forms where people can sign......
Kweli Mkuu hii petition lazima ipate support ya watu ili ifanye kazi, kama Mheshimiwa Lema angekuwa hapa ingebidi tumpe ili atengeneze forms na zisambazwe au hata Dr. Slaa au Taasisi yoyote ambayo inaweza kusimamia hii issue.... Ukweli ni kwamba kuwaachia hawa jamaa wajipunguzie mishahara ni kama kumpelekea Ngedere kesi ya Tumbili....
 
Mh. Lema mbunge wa Arusha akatatae hizo milioni 90 ili iwe mfano kwa wabunge wengine na wananchi kwa ujumla!!
hapana apokee ila aonyeshe mfano akanunue gari la ambulance au fire huko Arusha mjini! Unajua wabunge wa Upinzani si sawa na wa CCM ambao hata waki-pretend kukataa hizo anasa wanachukua nyuma ya pazia e.g. Mtoto wa Mkulima! Wao woote wazipokee ila wafanye cha maana nazo kama kuanzisha mfuko wa maendeleo majimboni na si kwa kunulia magari ya anasa!
 
Katika kupambana na matatizo makubwa yanayoikabili nchi katika nishati ya umeme, mimi nashauri hizo 90m za kila mbunge zielekezwe katika nguvu ya kununua mitambo mipya toka nje ili kupunguza makali ya mgao wa umeme ambao unaendelea nchi nzima.
 
Back
Top Bottom