Vijijini wanatumia TZ 11 na mbunge akitumia TZ 11 je atawatembelea je hao wapiga kura kwa urahisi?
Na hilo gari nililoweka ni FOB... ndugu yangu ukweli ni kwamba tunafikiria kimaskini mno. mfano tunataka mbunge ananunue used car... gari jipya hiyo hela ni cha mtoto labda anunue RAV 1800cc sasa sijui kama majimbo yote ni kama Ilala... ulizeni land cruser jipya mkonga ni sh. ngapi hata bila kodi... tuweni makini kidogo.
Hongera zao, tutawafata hukohuko. maana tukipiga kelele vipi hawatakubali kupunguziwa, wanazidi kujijazia mihela tuu wakisahau wapiga kura wao, dawa kubanana 2015.
Na hilo gari nililoweka ni FOB... ndugu yangu ukweli ni kwamba tunafikiria kimaskini mno. mfano tunataka mbunge ananunue used car... gari jipya hiyo hela ni cha mtoto labda anunue RAV 1800cc sasa sijui kama majimbo yote ni kama Ilala... ulizeni land cruser jipya mkonga ni sh. ngapi hata bila kodi... tuweni makini kidogo.
Halafu litakuwa mali ya JImbo lake au la kwake binafsi? Hofu yangu ni kwamba hawa wafanyabiashara siku zote hawataki kupoteza. Inawezekana ukawa mchongo wa kifisadi tu. Dili zote za ukarabati wa barabara kwenye Halmashauri hiyo zitakuwa za kwake. Ni mtazamo tuTuache porojo za kwenye majukwaa na dhana ya "staki nataka".Wabunge wa CDM kama kweli ni Wazalendo na njaa zao haziwazibi macho wafanye yafuatayo na wathibitishie umma wa Watanzania kuwa si sawa na CCM Club:
1.Kuamua kwa kauli moja kuzikataa ama kurudisha pesa hizo kama wamekwisha chukua.
2.Kuchukua na kuzielekeza kwenye matatizo ya Wananchi (Elimu,Afya & Ajira).
3.Kuzigawa kwa wao kupata usafiri wa bei nafuu(RAV 4) na kiasi kingine kuelekeza kwa Wananchi.
Ni mbunge mmoja wa CCM(Lameck Airo) ndiye aliyetamka kubadili matumizi ya hizo fedha kwa kununua katapila ya kuchonga barabara jimboni kwake.
Tunaomba CDM watoe tamko kati ya hayo na si porojo za "ndumilakuwili".
Kuna baadhi ya memba hawajaliona hili...Wengi wa wabunge wana madeni kibao kutokana na uchaguzi....Hawawezi kuzikataa. Baadhi yao kwenye kampeni wametumia zaidi ya hizo. Walikuwa wanawekeza. Sasa zinarudi. ROI kwenye siasa za Tz haisumbui sana.
achukue apelekee yatima na wenyeshida mbalimbali mkuu aaache lowasa atazitafuna (NB Lowasa imechukua nafasi ya MFISADI)Mh. Lema mbunge wa Arusha akatatae hizo milioni 90 ili iwe mfano kwa wabunge wengine na wananchi kwa ujumla!!
Kuna baadhi ya memba hawajaliona hili...Wengi wa wabunge wana madeni kibao kutokana na uchaguzi....
Halafu litakuwa mali ya JImbo lake au la kwake binafsi? Hofu yangu ni kwamba hawa wafanyabiashara siku zote hawataki kupoteza. Inawezekana ukawa mchongo wa kifisadi tu. Dili zote za ukarabati wa barabara kwenye Halmashauri hiyo zitakuwa za kwake. Ni mtazamo tu
Walikopa wakijua hizi na nyingine zipo. Siasa za Tanzania ni uwekezaji. Ni gulio. Unanunua kura kama bidhaa nyingine yoyote sokoni.Nani aliwatuma wakope pesa kutafuta ubunge? Walipe kutokana na mishahara yao ambayo hata hivyo ni minono. Au wakajieleze kwa wapiga kura wao wawalipie hayo madeni kwa sababu wanawapenda ndiyo maana wakawachagua. Pesa ambazo mtu alitumia kujitafutia ubunge kwenye jimbo lake zitalipwaje na watanzania wote?
Gari, posho na mshahara ni sehemu ya vitu unavyopata ukiwa mbunge, na hivi karibuni watajengewa na nyumba kabisa. Zaidi ya nia ya uwakilishi wa wananchi wao wana nia nyingine zaidi na ndio maana wanatumia pesa nyingi katika kampeni zao wakijua fika wakifanikiwa zitarudi tu!Nani aliwatuma wakope pesa kutafuta ubunge? Walipe kutokana na mishahara yao ambayo hata hivyo ni minono. Au wakajieleze kwa wapiga kura wao wawalipie hayo madeni kwa sababu wanawapenda ndiyo maana wakawachagua. Pesa ambazo mtu alitumia kujitafutia ubunge kwenye jimbo lake zitalipwaje na watanzania wote?
Wabunge wetu wapige hatua moja zaidi....
Inasikitisha kwamba katika nchi hii ambayo ina struggle kukamilisha bajeti yake ya 2010/2011, hadi leo wafanyakazi wengi hawajalipwa malimbikizo ya mishahara yao, tunaweza kumpa kila mbunge milioni 90 kwa ajili ya kununua gari la matairi manne kwa ajili ya kusafiria. Tunawapongeza wabunge wetu wa CHADEMA kwa kuliona hili. Sasa baada ya kuanika uozo huu hadharani, ningependa wabunge wetu wapige hatua moja mbele.
Mapendekezo yangu ni kwamba wachukue hizo fedha na wakubaliane kununua magari yasiyozidi milioni 40 au 50. Pesa inayobaki wakubaliane kutekeleza mradi mmoja wenye manufaa kwa wananchi nzima. Wanaweza, kwa mfano, kuamua kutumia hizo pesa kununua madawati katika shule zetu nyingi ambazo watoto wanakaa chini. The impact will be immerse and far reaching.
Wabunge wa CHADEMA wapo 48. Kama watakubaliana kutumia sh 45m kununua magari kila mmoja ataokoa shilingi milioni 45. Kwa ujumla wao watakuwa wameokoa sh 2,160,000,000 (zaidi ya sh. 2bn). Kwa pesa hii wataweza kununua madawati takribani 47,000 yenye uwezo wa kukalisha watoto takribani 188,000! What a service that will be to a country, and ,of course, the political gain will not be insignificant.
Sasa akizikataa zipelekwe wapi? acha achukue ni haki yake.Hakuziomba yeye bali ni wabunge waliowengi wa CCM mliowachagua wenyewe ndo walipitisha kwa wingi wao.Mh. Lema mbunge wa Arusha akatatae hizo milioni 90 ili iwe mfano kwa wabunge wengine na wananchi kwa ujumla!!
Sasa akizikataa zipelekwe wapi? acha achukue ni haki yake.Hakuziomba yeye bali ni wabunge waliowengi wa CCM mliowachagua wenyewe ndo walipitisha kwa wingi wao.