Kwa nilichokishuhudia katika mchakato wa kuchangia mswada wa katiba mpya .kunahaja ya kufanya yafuatayo:
1. Wabunge kupimwa akili kila siku kabla ya kuingia bungeni
2. Kuwa wanaandikiwa na wananchi kile wanachotakiwa kukichangia
3. Kuwa na utaratibu wa kuwauliza na kuwawajibisha kutokana na jinsi walivyo tekeleza yale tuliyowatuma siyo kusubiria miaka mitano
4. Mishahara yao iwe inalipwa kuendana na ufanisi wao na wawe wanapokelea majimboni kwao kwani wengine huwa hawaendi huko.
Kwani kwa kilichotokea inaonyesha hawa jamaa tunaowaita wawakilishi wetu niwawakilishi wa fikira zao wenyewe, vyama vyao na interest zao na za rafiki zao. Haiwezekani wapewe nafasi ya kuchangia mswada wa kitu muhimu kama katiba wao wanaishia kuongea kuhusu chadema halafu mwishoni wanaunga mkono hoja. Au chadema ndo ulikuwa muswada wenyewe?
1. Wabunge kupimwa akili kila siku kabla ya kuingia bungeni
2. Kuwa wanaandikiwa na wananchi kile wanachotakiwa kukichangia
3. Kuwa na utaratibu wa kuwauliza na kuwawajibisha kutokana na jinsi walivyo tekeleza yale tuliyowatuma siyo kusubiria miaka mitano
4. Mishahara yao iwe inalipwa kuendana na ufanisi wao na wawe wanapokelea majimboni kwao kwani wengine huwa hawaendi huko.
Kwani kwa kilichotokea inaonyesha hawa jamaa tunaowaita wawakilishi wetu niwawakilishi wa fikira zao wenyewe, vyama vyao na interest zao na za rafiki zao. Haiwezekani wapewe nafasi ya kuchangia mswada wa kitu muhimu kama katiba wao wanaishia kuongea kuhusu chadema halafu mwishoni wanaunga mkono hoja. Au chadema ndo ulikuwa muswada wenyewe?