USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Hakuna hata mbunge mmoja aliyekataa/kupinga mswada wa TISS mpya na ile ya tume ya mipango hii inaleta ukakasi hoja ya Zitto aliyosema wamemwambia haita jadiliwa bungeni, Zitto ni muongo Kwa hili .
Waziri amesema hakuna TISS atakaye lindwa na Sheria hii Kwa kupigana mitaani bali atalindwa kama tu alikuwa akitekeleza majukumu yake .
Mh . Rais Samia amemtuma waziri wa utawala Bora kuwa iwapo bunge litaipitisha Sheria hii basi atasaini siku hiyo hiyo (leo) na itaanza kutumika tarehe 1/7/2023
Yale makelele ya Zitto na Yericho humu ni kama kelele za tumbili msituni
USSR
Waziri amesema hakuna TISS atakaye lindwa na Sheria hii Kwa kupigana mitaani bali atalindwa kama tu alikuwa akitekeleza majukumu yake .
Mh . Rais Samia amemtuma waziri wa utawala Bora kuwa iwapo bunge litaipitisha Sheria hii basi atasaini siku hiyo hiyo (leo) na itaanza kutumika tarehe 1/7/2023
Yale makelele ya Zitto na Yericho humu ni kama kelele za tumbili msituni
USSR