SIPENDISISIEMU
Member
- Jan 28, 2011
- 40
- 14
Nafikiri hapa bila kuweka itikadi za vyama vyetu ni bora bunge letu lifikirie njia sahihi ya kumaliza
tofauti zao kwa sababu tusipende kudharau tuu Upinzani.Kumbuka kuna faida nyingi tuu za Upinzani pale Bungeni ambazo
zinaonekana wazi japo wao sio wenye serikali, ila changamoto zao zinasaidia sana chama Tawala, mfano Elimu bure hii ni sera ya Upinzani, hakuna mtu ambae angejua kuna takatata inayoitwa Escrow, Lugumi kama siyo Upinzani. Hivyo kubalance mambo nyeti kama bageti vyama vya upinzani vina umuhimu pia kuwepo pale bungeni !! Nasema haya nikiwa namaanisha nilielewa vizuri lile somo la civics form two "Importance of Multipart system "
tofauti zao kwa sababu tusipende kudharau tuu Upinzani.Kumbuka kuna faida nyingi tuu za Upinzani pale Bungeni ambazo
zinaonekana wazi japo wao sio wenye serikali, ila changamoto zao zinasaidia sana chama Tawala, mfano Elimu bure hii ni sera ya Upinzani, hakuna mtu ambae angejua kuna takatata inayoitwa Escrow, Lugumi kama siyo Upinzani. Hivyo kubalance mambo nyeti kama bageti vyama vya upinzani vina umuhimu pia kuwepo pale bungeni !! Nasema haya nikiwa namaanisha nilielewa vizuri lile somo la civics form two "Importance of Multipart system "