Wabunge wa Upinzani watoka bungeni wakiwa wameziba midomo yao

Kwa hiyo hao waliotoka nje wanawafaidisha nini waTz kwa kutoka nje, acha waendelee na maigizo, 2020 si mbali wananchi watatoa hukumu kama walichagua wawakilishi waende kususia bunge.
Ni aibu sana kusoma michango ya baadae ya watu humu, am a kweli Taifa Letu limejaa mabwege Ndio maana tunapekeshwa, watu wanaacha kuwakemea CCM Na huyo speaker Kilaza wanawatukana wale walioamua kutetea hakinyao at kuzaliwa. Waliopoteza wala si wapinzani Bali ni wewe mpumbavu usiyujua hata thamani ya utaifa wako wala Kura Yako hata Kama uliipigia CCM Kwa malipo ya ubabaishaji Na tshirt. Leo hii wewe ungetakiwa uwe umeshika bango barabarani kuwaunga mkono. Sukari hauiwezi, watoto wako Shule not reachable, Mke Na wadada zako wanazalia chini hakuna care Kama mbwa au swala porini, watoto wanaozaliwa Akili ndogo hawana wanaloweza uko hapa kuwabeza waliojitoa mhanga? Leo hii umefungiwa kufuatilia mijadala ya wawakilishi wako Na huna ulichofanya unauna sawa. Ndio maana ISiS wanawachinja Koo watu wanaojitia hawana Akili Kama nyie.
 
I am not affiliated with any political party, but I won't shy away weighing in to call out irresponsible politics on the part of anyone, as though I were affiliated with their political foe. The opposition coalition does not know what it's doing in this case! It's irresponsible politics, to say the least.

Go anywhere in the world, be it, Australia, United States of America, Great Britain or literally anywhere, for that matter, and you'll consistently notice that any party that has the controlling vote in the legislative body runs the show to suit its broad-based agenda, derived from the perceived mandate from the country's voters. It's just unrealistic for the minority to attempt to control the legislative agenda. The minority can only fully utilize available procedural maneuvers and productive negotiating skills to advance its legislative priorities. Childish walkouts and protests can almost always only guarantee you a zero chance of advancing anything whatsoever! The viable alternative for the minority is to work off its ass to earn control of the National Assembly. There's no shortcut!
 
Hivi hawa ukawa kweli wana akili sawa sawa leo naona wame-edit staili yao ya kutoka bungeni kwa kubandika makaratai kwenye midomo yao sasa sijui hasa walichokuwa wanamaanisha wakati tuliambiwa hakuna aliye wazuia kuingia bungeni ni utashi wao wenyewe

Sasa naanza kuliona kaburi la upinzani 2020 sijui kama watatoboa tena hawa dah kweli za kuambiwa changanya na zako tangu wameaambiwa hawataki kuchanganya zao
UKAWA wana akili zaidi ya akili tatizo ni sisi watanzania kwa kuwa ving'ang'anizi hata pale tunaona sivyo tunaleta ushabiki wa kivyama na mwisho tunafanywa watoto. Hawa unawaona hawana akili wanahoji vitu vya msingi ila wanafanyiwa mizengwe. Mfano Hhivi ni nani ananufafaika na hii bana matumizi ya serikali ya awamu ya 5? wakuhoji vitu fulani naibu spika anawafanyia zengwe na wabunge wenzao wa CCM wanawazomea na kuwananga.
 
I am not affiliated with any political party, but I won't shy away weighing in to call out irresponsible politics on the part of anyone, as though I were affiliated with their political foe. The opposition coalition does not know what it's doing in this case! It's irresponsible politics, to say the least.

Go anywhere in the world, be it, Australia, United States of America, Great Britain or literally anywhere, for that matter, and you'll consistently notice that any party that has the controlling vote in the legislative body runs the show to suit its broad-based agenda, derived from the perceived mandate from the country's voters. It's just unrealistic for the minority to attempt to control the legislative agenda. The minority can only fully utilize available procedural maneuvers and productive negotiating skills to advance its legislative priorities. Childish walkouts and protests can almost always only guarantee you a zero chance of advancing anything whatsoever! The viable alternative for the minority is to work off its ass to earn control of the National Assembly. There's no shortcut!
You have seen that and my doubt may be you are a stranger to our politics. We did agree to take part in multipartism with no choice and bet not to allow the other parties to make good progress that would enable them heard. As a stranger this may be the whole scenerio that is embarking the game. No one in the running government is ready to loose his/her position and as a results they are so stern to allow opposition to show off. Infact we are just practising what we don't do in the name of fair election or democracy.
 
Tumefanana nazo, zina miguu lakini hazitembee, zina masikio lakini hazisikii, zina macho lakini hazioni, mwenye masikio na asikie, mwenye macho na aone.........je wenzangu mnaona? mnasikia?.... tukifumba midomo tutakulaje?... njaa itatutafuna.... je tuige tulichokiona? .... Kazi kwetu, tutajifunza mengi sana wananchi.
 
Ni aibu sana kusoma michango ya baadae ya watu humu, am a kweli Taifa Letu limejaa mabwege Ndio maana tunapekeshwa, watu wanaacha kuwakemea CCM Na huyo speaker ****** wanawatukana wale walioamua kutetea hakinyao at kuzaliwa. Waliopoteza wala si wapinzani Bali ni wewe ******** usiyujua hata thamani ya utaifa wako wala Kura Yako hata Kama uliipigia CCM Kwa malipo ya ubabaishaji Na tshirt. Leo hii wewe ungetakiwa uwe umeshika bango barabarani kuwaunga mkono. Sukari hauiwezi, watoto wako Shule not reachable, Mke Na wadada zako wanazalia chini hakuna care Kama mbwa au swala porini, watoto wanaozaliwa Akili ndogo hawana wanaloweza uko hapa kuwabeza waliojitoa mhanga? Leo hii umefungiwa kufuatilia mijadala ya wawakilishi wako Na huna ulichofanya unauna sawa. Ndio maana ISiS wanawachinja Koo watu wanaojitia hawana Akili Kama nyie.
Umeongea vizuri na Nilitaka kukupa "like" lakini umeharibu pale ulipoweka ISIS hivyo like yangu nimeiminya. Pamoja na haya yote yanayoendelea hakuna aliye na haki ya kutoa uhai wa mtu mwingine. Mungu mwenyewe ndiye anayehukumu.
 
You have seen that and my doubt may be you are a stranger to our politics. We did agree to take part in multipartism with no choice and bet not to allow the other parties to make good progress that would enable them heard. As a stranger this may be the whole scenerio that is embarking the game. No one in the running government is ready to loose his/her position and as a results they are so stern to allow opposition to show off. Infact we are just practising what we don't do in the name of fair election or democracy.

I don't think I really fit the characterization of a stranger! This is just a harsh reality; an astute politician knows how to balance his or her political egos with the best interests of his or her voters. Fast forward 2020 and I am challenging my CHADEMA-sponsored member of parliament to walk us through his or her 5-year accomplishments in our constituency. Is (s)he going to only tell us that they had no confidence in the deputy speaker and, therefore, could not participate in the legislative body and champion our area interests? What a bummer? Responsible politics is a balancing act! Tough talking is one thing and governing is another.
 
Wanachopigania kinaeleweka na kiko wazi kama ukiamua kuelewa, wewe kwa kuwa umechagua kutoelewa ni uamuzi wako na ni uhuru wa maoni ambao kama serikali ya chama chako ingeamua kuuheshimu uhuru huo tungeweza kuwa taifa bora zaidi kuliko hili ambalo mnataka liwe!
Bajeti HAIJAPITA?

Hawa NYUMBU warudi Bungeni waibane serikali huko!Mbona akina Dr Slaa walipambana mno Bungeni ingawaje walikuwa pungufu kama hawa?Hawana cha maana cha kukataa kuingia Bungeni!Hawana hata kimoja
 
Kwa hiyo hao waliotoka nje wanawafaidisha nini waTz kwa kutoka nje, acha waendelee na maigizo, 2020 si mbali wananchi watatoa hukumu kama walichagua wawakilishi waende kususia bunge.
kufika 2020 sukari kilo itakuwa Tshs 150/- kwa wana ccm, ila ukawa watainunua hata kwa 200,000/- kilo. Hongera NS
 
juzi nilishaangaa sana mbowe lema nasari nawengine wale wajanja wajanja kutoka moshi kutokuvaa makaratasi mdomoni juzi kwanini wao hawakuvaa ??
 
juzi nilishaangaa sana mbowe lema nasari nawengine wale wajanja wajanja kutoka moshi kutokuvaa makaratasi mdomoni juzi kwanini wao hawakuvaa ??

Nimemuna MSIGWA KAMA ZEZETA PALE MBELE sijui atawaeleza nin wanae na EMOJI YAKE MDOMONI
 
Back
Top Bottom