Nataka kujua idadi yao na majimbo yao ili kuona ni kwa namna gani chama hicho kilivyokuwa na nguvu kabla baadae kukosa muelekeo.
Nawakumbuka baadhi mkuu
Dr.Lamwai-Ubungo Mabere Marando-Rorya Paulo Ndohbo-Musoma rural,
Makongoro Nyerere-Arusha mjini jina limenitoka-Arumeru East,huyu alikuwa anapenda kuongea kingereza bungen, James Mbatia-Vunjo,ndiye alipata kura nyingi kiasilimia kuliko wote bunge la 95 Makidara Mosi-Siha Mwinyihamic-Hai Gerard Ngotolainyo-Moshi rural jOseph Mtui-Moshi URBA Jacob Msina-Urambo east M.kibaso-iringa Urban M.mwaiseje-Mbeya Urban Ndimara T.-Muleba kaskazin, ila now mambo yote CHADEMA KAKA