Tundu Lisu na Mnyika wanakuambia tunaondoa shilingi for the records. Nimeipenda sana hiyo kauli maana hapo watatuletea wananchi tuone akili za wana magamba kutenga bilion 3 kukarabati ofisi ya makamu wa Raisi Dar na kuweka milion 400 kwa ajili ya kupambana na Mazingira.
Wananchi tumeona na yametuingia mioyoni 2015 Tutajua cha kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.