Wewe kweli ndio debe tu, yaani wewe ndio una ruksa ya kila thread kuchangiahivi ni lazima kila thread uchangie au ni kiherehere ndiyo kina kusumbua...
[*]Tamko la Wabunge wa Jiji la DSM Kuhusu Kashfa ya Shirika la UDA
[*]Maazimio ya CC ya CCM kuhusu Nishati na Madini; chama legelege huzaa serikali legelege
[*]Kuhusu ubinafsishaji haramu na batili wa Shirika la Usafiri Dar es salaam (UDA)
[*]DAWASA na DAWASCO ziwajibike kuondoa kero ya maji
[*]Bajeti ya Ofisi ya Rais; Kikwete na Ikulu wawajibike
[*]Nilichosema bungeni kuhusu mpango wa taifa (2011-2016) na Bajeti (2011/2012)
[*]Mrejesho kuhusu Uwakilishi Wangu katika Mkutano wa pili wa Bunge
[*]UJUMBE WA MBUNGE: Shukrani, Twende Kazi!
[*]CHADEMA na Falsafa Na Itikadi Sahihi
[*]Natangaza rasmi dhamira ya kugombea Ubunge 2010
[*]‘Ruksa' kwa watumishi wa umma kushiriki siasa
[*]Baraza Dogo la Mawaziri na Muundo wa Wizara
[*]Ujumbe wa Mshikamano: Siri Zifichuliwe
[*]Zitto alia na Mzumbe kuzuia mjadala wa madini
[*]Rangi za bendera ni ujumbe, uzalendo au urembo?
[*]BAWATA, NYF Vs Haki za Kiraia
[*]Ardhi na Maendeleo ya mgeni njoo mwenyeji akonde!
[*]Hotuba Mbadala TAMISEMI: Slaa ataka Balali ajiuzulu; ambana Lowassa kuhusu Richmond
[*]Ndyanabo Hatunaye
[*]Ujumbe kwa WanaUbungo na Watanzania
[*]Huu ni Ukweli wa Dr Slaa??
[*]International Forum
[*]Masuala Matatu ya Kutafakari
[*]Sera Ya Vijana; 'inaeleweka?'
[*]Ujumbe kwa Waziri Mkuu Pinda
[*]Mkullo, Fedha za EPA ni Umma
[*]Londa amgeukia Zitto
[*]Mwanza, Shinyanga, Maji na Thamani ya Fedha zetu
[*]UBUNGO Kibamba Saga: New Twist
[*]Misingi 25 Ya Ushiriki Wa Umma
[*]Vijana Taifa la Leo-Mtei
[*]Waraka wa Kwanza kwa Wafanyakazi Vijana
[*]Hili agizo linatolewa mara ngapi?
[*]Dira Na Utume
[*]BOT:Toka Slaa 'aweke mpira kwapani' na kuurusha 'uwanjwa wa wazi'
[*]Tuwalipishe gharama mafisadi
[*]EPA ipo namna ya kukwepa?
[*]Walinzi Wa Kampuni Binafsi Wavunja Kwa Mara Ya Pili Tawi La Chadema Kwa Shinikizo Tok
[*]Siku ya Vijana wa Afrika-nini utume wetu?
[*]Soma Katikati ya Mstari - alama za Nyakati?
[*]Tunahitaji Umoja wa Mataifa?
[*]Chacha Wangwe Kuyafikisha Mahakamani magazeti Kwa Kumchafulia Jina
[*]Miswada hii iko wapi?Inasemaje?Unasemaje?
[*]Leo katika Bunge
[*]Tanzania, CHADEMA, CCM na mjadala wa falsafa na itikadi;lipi ni jibu?-sehemu ya pili
[*]Bajeti Mbadala 2007/08
[*]Tathmini ya Bajeti 2006/07 na mwelekeo 2007/08
[*]Tuijadili sheria ya Vyama Vya Siasa
[*]Serikali na CCM
[*]Muswada wa Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa
- [h=3] Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Igunga[/h]
- [h=3]Halima Mdee ndani ya Kombati akisoma hotuba yake[/h]
- [h=3]Kwahakika Nimelimiss Jukwaa Hili -I Miss You Wapwaz na Binamuz[/h]
- [h=3]Hotuba ya msemaji wa Upinzani Nishati na Madini-John Mnyika[/h]
- [h=3]Ninayempenda Nisiyemjua Kanitolea Nje[/h]
- [h=3]Nimempenda Mtu Nisiyemfahamu-Sijawahi Kumuona[/h]
- [h=3]Nakaaya Sumari Kugombea Ubunge CHADEMA[/h]
- [h=3]Kamati Kuu ya CHADEMA Kukutana Kesho Kupitisha Wagombea BAVICHA[/h]
- [h=3]Dr Slaa mgeni rasmi Kongamano la Wanafunzi Chuo Kikuu Cha Mzumbe Morogoro[/h]
- [h=3]Maandamano ya CHADEMA Jiji la Mbeya-Picha na Matukio[/h]
- [h=3]CHADEMA Kuitikisa Nyanda za Juu Kusini; Safari Kuanza kesho[/h]
- [h=3]Kongamano la CHADEMA Vyuo Vikuu Dodoma[/h]
- [h=3]Yatokanayo na Kamati Kuu ya CHADEMA-Tamko Rasmi la Chama[/h]
- [h=3]Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza[/h]
- [h=3][PICHA] Maandamano ya CHADEMA Chato na Katoro[/h]
- [h=3]Chadema ndani ya Bukoba[/h]
- [h=3][PICHA] CHADEMA Ndani ya Shinyanga[/h]
- [h=3]Maandamano ya CHADEMA Yaungwe Mkono na Kila Mwenye Kuiependa nchi-Magige Nyerere[/h]
- [h=3]CHADEMA wazuru Kaburi la Baba wa Taifa Butiama[/h]
- [h=3][PICHA] Maandamano ya CHADEMA Mkoa wa Mara[/h]
- [h=3]CHADEMA Wazindua Matawi vyuo Vikuu: St Johns, DIT, CBE, IFM na Mipango-Dodoma[/h]
- [h=3]Kongamano la Vijana wa CHADEMA vyuo Vikuu DSM-Dr Slaa,Zitto,Mnyika,Marando Kuunguruma[/h]
- [h=3]Binamus na Wapwaz-Nawatakia Heri ya Xmass na Mwaka Mpya 2011[/h]
- [h=3]Muigizaji Tino-Azimia ANGAZA Akisubiri Majibu[/h]
- [h=3]Maisha Mapya ya Ubunge-Changamoto Zimeongezeka[/h]
- [h=3]Nimerudi salama-Niliwamiss sana[/h]
- [h=3]Shukrani zangu za dhati kwa wanaJF baada ya Uchaguzi[/h]
- [h=3]Mabere Marando Ateuliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA[/h]
- [h=3]Wapwaz na Binamuz,Nawaaga-Nitapotea kwa muda kwenye Jukwaa hili[/h]
- [h=3]Dr Slaa aitikisa Karatu[/h]
- [h=3]Pata Milio Bomba ya CHADEMA Kwenye Simu Yako
Viongozi wa CCJ Wajiunga Rasmi na CHADEMA
Anataka Kutoa Mimba -Nimemkatalia
Mr Sugu na Mkoloni Wajiunga Rasmi na CHADEMA[/h]
<br />Singida mjini mnajisumbua tu, hapo MO ndio kapakamata, hao wapiga mtukuru mliowakusanya hapo ni ushabiki tu ndio umewaleta hapo. Na hiyo speach ya kutolewa juu ya meza ndio mnaona dili, kweli wanacdm ni makondoo kama wabunge wenu.
<br />Vizuri kupaza sauti juu ya changamoto na matatizo yanayoikumba jamii kila mnapopata nafasi ya kutembelea wananchi katika maeneo tofauti nchini.<br />
<br />
Ushauri wangu; Msiishie kusema shida zao tu bali mtoe na suluhu ya hayo matatizo yao katika njia ambayo itaeleweka hasa kwa mwananchi wa kawaida ili atakae wabeza, wananchi watakua wameelewa ufumbuzi wa matatizo yao uko wapi.<br />
Kwa njia hii mikutano yenu itakua na tija na faraja kwa wananchi mnaowatembelea na mtapata ushirikiano wa kutosha.<br />
Msijikite katika kutoa lawama tu kwa watendaji wa serikali bali kuonyesha njia sahihi itakayo leta ukombozi. <br />
Tumechoshwa na habari za ufisadi na ubadhilifu katika serikali na inavyoelekea hakuna njia ya kuwabana wahusika pindi wanapotajwa ingawa tunafarijika kwa wachache ambao hatua zimechukuliwa ingawa si za kuridhisha sana maana suala la tume nalo limekua kama sehemu ya kufichia hayo madhambi.<br />
<br />
Ni maoni yangu tu hayo machache.
gritithinkavizuri kupaza sauti juu ya changamoto na matatizo yanayoikumba jamii kila mnapopata nafasi ya kutembelea wananchi katika maeneo tofauti nchini.
Ushauri wangu; msiishie kusema shida zao tu bali mtoe na suluhu ya hayo matatizo yao katika njia ambayo itaeleweka hasa kwa mwananchi wa kawaida ili atakae wabeza, wananchi watakua wameelewa ufumbuzi wa matatizo yao uko wapi.
Kwa njia hii mikutano yenu itakua na tija na faraja kwa wananchi mnaowatembelea na mtapata ushirikiano wa kutosha.
Msijikite katika kutoa lawama tu kwa watendaji wa serikali bali kuonyesha njia sahihi itakayo leta ukombozi.
Tumechoshwa na habari za ufisadi na ubadhilifu katika serikali na inavyoelekea hakuna njia ya kuwabana wahusika pindi wanapotajwa ingawa tunafarijika kwa wachache ambao hatua zimechukuliwa ingawa si za kuridhisha sana maana suala la tume nalo limekua kama sehemu ya kufichia hayo madhambi.
Ni maoni yangu tu hayo machache.
We regia, unataka kuniambia kote walipo wabunge wa chadema hakuna matatizo ya maji? nakwamba ni juhudi zenu ndio zimeleta maji? acheni hizo bana. Naomba ije siku muwe chama tawala tuone kama matatizo haya tuliyonayo yataondoka just like that. ukiwa chama pinzani ni rahisi sana kumkosoa mwenzako. talk is cheep talk talk to much. yaondoeni matatizo jimboni kwenu tuone mfano.