Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,379
Hivi magwanda wana lipi la kuongea kesho zaidi ya malalamiko yao ya kila siku. Kutoa matamko.
Wana kamsemo kao eti Chadema nguvu ya umma..
Nguvu ya umma mna wabunge 23? Akili ukwaju
Hivi magwanda wana lipi la kuongea kesho zaidi ya malalamiko yao ya kila siku. Kutoa matamko.
Katika kile tulichokiita kama fungua kikao cha Bunge sisi wakazi wa Dodoma na wana-CHADEMA kesho tutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara pale viwanja vya barafu kupokea maoni ya wananchi na kuwapa taarifa juu ya mwenendo wa nchi kwa sasa...hii inafuatiwa na kuzuiliwa kwa mkutano wetu tuliotaka kuufanya mwezi uliopita katikati...Tumepita karibu kona zote hapa DODOMA kuwataarifu wananchi kupitia PA System yetu....Kwenye mkutano huu wabunge wote wa CHADEMA wanategemewa kuwepo wakiongozwa na Kamanda Mbowe na KAMANDA GODBLESS LEMA aka MANDELA atakuwepo labda itokee dharula....mkutano utaanza saa 7 mchana mpaka saa 12:30 jioni...
KARIBUNI WOTE MJAZWE UJASIRI,NA KUFAHAMU HAKI ZENU ZA MSINGI....AL-SHABAB HAWATAKUWEPO NA POLISI WAMETUHAKIKISHIA ULINZI WA UHAKIKA KESHO....
Mkuu, JF sio sehemu ya porojo kama unaleta data zako lazima uhakikishe ni za kweli..
Usiokoteze habari mtaani humu kuna Great thinkers..
Wana kamsemo kao eti Chadema nguvu ya umma..
Nguvu ya umma mna wabunge 23? Akili ukwaju
Suala la ushoga la Conservative maswaiba zao Chadema mtaliongelea? au mnaongelea mambo ya msingi tu..
Ushoga hauna tatizo
Ndiyo kama hv unanipa wakati mgumu lakini baada ya kutafakari sana nikagundua ya kwmb labda umezaliwa nje ya malezi ya wazazi wawili. Lakini hakika tutafika tu! Awike Asiwike Patakucha tu!
wewe kama ni shoga nenda magomeni kawatafute wenzako mzungumzie ushoga wenu!
we nenda bana usivunge, najua hutakosa wew c unakata hapa dom maeneo ya Area D, acha shati lako la kijani nenda hapo sabasaba upate angalau skafu ya chadema tutakuruhusu tu.Wana kamsemo kao eti Chadema nguvu ya umma..
Nguvu ya umma mna wabunge 23? Akili ukwaju
Leo mh. Mbowe yuko Arusha toka jana mji ulishambuliwa kwa matangazo.Kesho Dom? c mlisema Mbowe atamwekea dhamana Lema pale Kisongo kisha mtafanya mkutano na kupokelewa na umati viwanja vya NMC Arusha? au mmejigawaje mkuu?
Mwendawazimu si lazima aokote makopo... Maneno yana uwez6 wa kunyesha uzima wa akili mtu.Ninajiuliza kilichofanya Lema kujipeleka Selo ni nini polisi wamemtimizia alichokuwa anataka mpaka kesho kuamua kutoka?
au ndio mambo ya Kamada wa sinema za kihindi
Anayepaswa kuungelea Ushoga ni yule aliyeambiwa anafaa kuwa Shoga ndie anapaswa kutueleza kwamba walimwonaje mpaka wakamshauri hivyo?Suala la ushoga la Conservative maswaiba zao Chadema mtaliongelea? au mnaongelea mambo ya msingi tu..
Ushoga hauna tatizo
Mwendawazimu si lazima aokote makopo... Maneno yana uwez6 wa kunyesha uzima wa akili mtu.
Leo ni Makamuzi kwa Kwenda mbele!Arusha na Dodoma kwa wakati mmoja.Mbowe,Slaa,Lissu na Lema wakikamua Viwanja vya NMC Arusha,Mnyika,Sugu,Mdee na Makamanda wengine tunakamua Barafu katika Viwanja vya Barafu Dodoma.
Kazi imeanza.Hakuna kulala mpaka kieleweke..
Leo ni Makamuzi kwa Kwenda mbele!Arusha na Dodoma kwa wakati mmoja.Mbowe,Slaa,Lissu na Lema wakikamua Viwanja vya NMC Arusha,Mnyika,Sugu,Mdee na Makamanda wengine tunakamua Barafu katika Viwanja vya Barafu Dodoma.
Kazi imeanza.Hakuna kulala mpaka kieleweke..
Nimeipenda hiyo kwama Al-Shaabab hawatakuwepo! Pengine mngempa mbinu bwana kova namna ya kujuwa Al-Shaabab wako wapi because he is shooting randomly.