only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Katika kile tulichokiita kama fungua kikao cha Bunge sisi wakazi wa Dodoma na wana-CHADEMA kesho tutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara pale viwanja vya barafu kupokea maoni ya wananchi na kuwapa taarifa juu ya mwenendo wa nchi kwa sasa.
Hii inafuatiwa na kuzuiliwa kwa mkutano wetu tuliotaka kuufanya mwezi uliopita katikati. Tumepita karibu kona zote hapa Dodoma kuwataarifu wananchi kupitia PA System yetu.
Kwenye mkutano huu wabunge wote wa CHADEMA wanategemewa kuwepo wakiongozwa na Kamanda Mbowe na Kaanda Godbless Lema aka Mandela atakuwepo labda itokee dharula. Mkutano utaanza saa 7 mchana mpaka saa 12:30 jioni.
Karibuni wote mjazwe ujasiri na kufahamu haki zenu za msingi. Al-Shabab hawatakuwepo na polisi wametuhakikishia ulinzi wa uhakika kesho.
Hii inafuatiwa na kuzuiliwa kwa mkutano wetu tuliotaka kuufanya mwezi uliopita katikati. Tumepita karibu kona zote hapa Dodoma kuwataarifu wananchi kupitia PA System yetu.
Kwenye mkutano huu wabunge wote wa CHADEMA wanategemewa kuwepo wakiongozwa na Kamanda Mbowe na Kaanda Godbless Lema aka Mandela atakuwepo labda itokee dharula. Mkutano utaanza saa 7 mchana mpaka saa 12:30 jioni.
Karibuni wote mjazwe ujasiri na kufahamu haki zenu za msingi. Al-Shabab hawatakuwepo na polisi wametuhakikishia ulinzi wa uhakika kesho.