Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Jana wakati wabunge wa Chadema wakisusia kikao kilichokuwa na nia ya kutoa tafsiri ya kambi rasmi ya upinzania bungeni, sikutaka kuamini kile nilichokuwa nakisikia kutoka kwa wabunge waliobaki ( kwa uwingi wao CCM). Kutoa lugha chafu za kejeli kwa wenzao waliokuwa wanatoka sikuona hata chembe ya busara waliyonayo.
Yaani kumbe nimegundua ni watu waliozoea mipasho, upashkuna, na maneno ya vijembe vya kwenye taarabu na Kanga.
Kweli hawa ni watu watanzania tunaowategemea watajadili mijadala yenye maslahi kwa taifa?? MMh inatia mashaka mno.
Ushauri wangu;
Binadamu ameumbwa na mdomo mmoja, na masikio mawili. Mungu alikuwa na makusudi yake kuweka masikio mawili, sikia zaidi kabla ya kurusha maneno. Nashauri bunge liweke kozi maalumu zitakazowaandaa wabunge wote kuwafanya watambue kwamba bunge sio sehemu ya vita ya kutumia nguvu, hoja zenye maana na ushawishi ndio nguvu pekee itakayokuwezesha kumu-win mpinzani wako.
Kozi za soft skills pia zinahitajika kwa wabunge i.e. presentation skills, persuasive skills, interpersonal skills n.k
Yaani kumbe nimegundua ni watu waliozoea mipasho, upashkuna, na maneno ya vijembe vya kwenye taarabu na Kanga.
Kweli hawa ni watu watanzania tunaowategemea watajadili mijadala yenye maslahi kwa taifa?? MMh inatia mashaka mno.
Ushauri wangu;
Binadamu ameumbwa na mdomo mmoja, na masikio mawili. Mungu alikuwa na makusudi yake kuweka masikio mawili, sikia zaidi kabla ya kurusha maneno. Nashauri bunge liweke kozi maalumu zitakazowaandaa wabunge wote kuwafanya watambue kwamba bunge sio sehemu ya vita ya kutumia nguvu, hoja zenye maana na ushawishi ndio nguvu pekee itakayokuwezesha kumu-win mpinzani wako.
Kozi za soft skills pia zinahitajika kwa wabunge i.e. presentation skills, persuasive skills, interpersonal skills n.k