Ni muda muafaka sasa ambapo bado mna nafasi ya kusikilizwa na chama kama wabunge kuyapinga baadhi ya maamuzi ya mwenyekiti anayoyafanya ktk chama.
Anatumia kivuli cha kusafisha chama lkn kiuhalisia anawaondoa wale wote waliokuwa wapambe wa wagombea urais wenye ushawishi 2015.
Na hii nawambieni ninyi wabunge wa ccm 2020 wengi wenu mtalia na kusaga meno, maana mtakuwa mkikatwa kama Shyrose Bhanji alivyokatwa kwenye EALA.
Huyu mwenyekiti alikwazwa sana siku mwenyekiti aliyestaafu anaingia pale kwenye mkutano mkuu halafu mkawa mnaimba "mna imani na MTU fulani". Analishughulikia hilo kimya kimya na kwa staili ya aina yake.
Kwa mwendo huu sioni ni nani kati yenu ninyi wabunge wa ccm atarudi 2020. Labda hao aliowapachika yeye, akina Ndumbaro, Mtulia na Dr Mollel, lkn wengine kwaherini.
Kuthibitisha haya angalia hata jinsi alivyo hangaika kuwapata mawaziri wake! Wengi wao amewatoa nje ya kundi la wabunge, akawapa ubunge kisha uwaziri na pia ili kuwaua kisiasa wagombea urais wengine amewateua kuwa mawaziri au mabalozi na wengine kawapachika uNEC.
Anawachukia ila hamjijui tu. 2020 nyote mtakatwa, SUBIRINI mtaona na MTANIKUMBUKA.
Anatumia kivuli cha kusafisha chama lkn kiuhalisia anawaondoa wale wote waliokuwa wapambe wa wagombea urais wenye ushawishi 2015.
Na hii nawambieni ninyi wabunge wa ccm 2020 wengi wenu mtalia na kusaga meno, maana mtakuwa mkikatwa kama Shyrose Bhanji alivyokatwa kwenye EALA.
Huyu mwenyekiti alikwazwa sana siku mwenyekiti aliyestaafu anaingia pale kwenye mkutano mkuu halafu mkawa mnaimba "mna imani na MTU fulani". Analishughulikia hilo kimya kimya na kwa staili ya aina yake.
Kwa mwendo huu sioni ni nani kati yenu ninyi wabunge wa ccm atarudi 2020. Labda hao aliowapachika yeye, akina Ndumbaro, Mtulia na Dr Mollel, lkn wengine kwaherini.
Kuthibitisha haya angalia hata jinsi alivyo hangaika kuwapata mawaziri wake! Wengi wao amewatoa nje ya kundi la wabunge, akawapa ubunge kisha uwaziri na pia ili kuwaua kisiasa wagombea urais wengine amewateua kuwa mawaziri au mabalozi na wengine kawapachika uNEC.
Anawachukia ila hamjijui tu. 2020 nyote mtakatwa, SUBIRINI mtaona na MTANIKUMBUKA.