nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
mimi najiuliza ila sipati majibu inakuwaje kila mbunge anayeulizwa kuhusu swala kupanda kwa posho zao hawajibu straight wanabakia kukwepa tu mfano Hamadi Rashid anaulizwa kuhusu msimamo wake anaanza kujibu eti ni mfumo unaoleta haya yaani kila mbunge, hii imekaaje jamani