Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
ccm ina viongozi wengi wenye heshima zao, pale walienda viongozi wa mkoa wa arusha wa chama, nyie si mnafatana ili kuongeza idadi na uzito kwa sababu mko wachache?
Huna jipya mtoa mada! Mara ngapi tumesikia Rais yupo Dodoma na kuitisha mkutano na wabunge wa CCM wakati bunge likiendelea? Hii si kutumikia chama cha mapinduzi? Kama ingekuwa kutumikia taifa Rais angeitisha mkutano wa wabunge wote wa Bunge la Jamhuri na si wale wa CCM tu! Acha propaganda isiyoeleweka.
Imekuwaje walikuja akina chemba na nepi kwenye kampeni kama mko wengi???Na kilichowafanya wasije kwenye msiba ni nini kama hawahusiki na mauaji???Acha ununda watu washaerevuka.
Kwa mantiki hiyo kuwa mtu asipo hudhuria kwenye msiba basi ni muuaji, nadhani Dr Slaa awe muuaji nambari one, maana ni chama chake ndicho kilipata majanga, yeye ndie kiongozi wa chama, lakini alishindwa kusitisha ziara yake na kwenda kuwapa pole wafiwa.
kwa hiyo wabunge wa ccm ndo wenye uzalendo kwa taifa letu? Je kuunga mkono mauaji ya polis ni utaifa? Je kufanya mauaji aliyofanya mwigulu ndo utaifa? Wabunge wa ccm wanahudhuria vikao kwa ajili ya kupata posho za vikao na si kuwawakilisha wananchi!Wana-JF;
Suala la wabunge wa CHADEMA kuendekeza chama chao kuliko utaifa (bungeni) kwa sasa limedhihiri.
Wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakikosa vipindi vingi vya bunge, tena kwa ujumla wao, huku wakizijua athari zitokanazo na mahudhurio mabovu.
Wamekuwa wakifanya 'chokochoko' makusudi kabisa, ili wamlazimishe spika kutumia kanuni awatoe, ili waende majukwaani na kukitumikia chama chao.
Tukio la Arusha nalo limefanywa kisiasa, kwani wabunge wote wa CHADEMA wamepanga kutohudhuria bungeni, ili wapate fursa za kukaa majukwaani na kukitumikia chama.
Wito wangu kwa CHADEMA, ifike wakati sasa taifa mlipe kipaumbele kuliko chama chenu, bunge la bajeti ni bora zaidi kuliko mnayo angaika nayo huko Arusha.
Wana-JF;
Suala la wabunge wa CHADEMA kuendekeza chama chao kuliko utaifa (bungeni) kwa sasa limedhihiri.
Wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakikosa vipindi vingi vya bunge, tena kwa ujumla wao, huku wakizijua athari zitokanazo na mahudhurio mabovu.
Wamekuwa wakifanya 'chokochoko' makusudi kabisa, ili wamlazimishe spika kutumia kanuni awatoe, ili waende majukwaani na kukitumikia chama chao.
Tukio la Arusha nalo limefanywa kisiasa, kwani wabunge wote wa CHADEMA wamepanga kutohudhuria bungeni, ili wapate fursa za kukaa majukwaani na kukitumikia chama.
Wito wangu kwa CHADEMA, ifike wakati sasa taifa mlipe kipaumbele kuliko chama chenu, bunge la bajeti ni bora zaidi kuliko mnayo angaika nayo huko Arusha.
NDUgu zanguni,
Nimegundua kuwa kila kukicha Hawa makamanda WA Chadema wamekuwa wakifanya upuuzi WA kila aina ili wakamatwe halafu wawe gumzo mitaani.
Ningependa kuwashauri waheshimiwa sana makamanda,
Hebu fanyeni kazi za kulijenga taifa, huko jela mnamaliza vya kula vya wanaostahili kuwa huko,
Au ile harufu ya lupango Kwenu Ni manukato.
Cc, Sugu, Lema na wengineo wapenda misifa....
JITAMBUE!
na ndo maana wanauojua kusoma alama za nyakati wanajua Chadema kitapoteza viti vyote vya ubunge kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2015
Unafanana sana na avatar yako
Tunaujua kuwa makamanda Mna akili kubwa mnohauna akili
NDUgu zanguni,
Nimegundua kuwa kila kukicha Hawa makamanda WA Chadema wamekuwa wakifanya upuuzi WA kila aina ili wakamatwe halafu wawe gumzo mitaani.
Ningependa kuwashauri waheshimiwa sana makamanda,
Hebu fanyeni kazi za kulijenga taifa, huko jela mnamaliza vya kula vya wanaostahili kuwa huko,
Au ile harufu ya lupango Kwenu Ni manukato.
Cc, Sugu, Lema na wengineo wapenda misifa....
JITAMBUE!