tsar
Member
- Mar 15, 2011
- 74
- 2
Natazama bunge hapa naona wabunge wanapongeza serikali kwa kumaliza mgawo wa umeme.
Sijui wanaishi dunia gani kwani huku mwanza mgawo upo kama kawaida.
maeneo mengine mgawo ni wa saa 12 mfano bwiru.
Umeme wakatika saa moja na kurudishwa saa moja usiku.
Wabunge wa mwanza nao hata kusema hawawezi.
Sijui wanaishi dunia gani kwani huku mwanza mgawo upo kama kawaida.
maeneo mengine mgawo ni wa saa 12 mfano bwiru.
Umeme wakatika saa moja na kurudishwa saa moja usiku.
Wabunge wa mwanza nao hata kusema hawawezi.