Mmongolilomo
Senior Member
- Feb 25, 2008
- 138
- 10
Nina mashaka na chanzo cha habari.
Haya ndo matokeo ya dhambi ya ubaguzi aliyoyasema hayati mwalimu Nyerere,wao walijitenga na wenzao ndani ya chama,wakaunda mtandao.sasa ktk mtandao huo walikuwa na malengo tofauti kila mmoja. wapo waliofikiri ndo njia ya kutokea kimaisha,wapo waliokuwa na dhamila njema ya kulitumikia taifa, Sasa wale ambao wametolewa kafara na kukwaruzwa na ajali za kisiasa kwa njia moja au nyingine lazima waendeshe harakati kama hizo.Waswahili husema ukiona moshi wafukuta, ujuwe moto waja...
Mashujaa??........hilo jina limenifurahisha sana manake sijui kwa nini wamejifichatunaomba majina ya hao 'mashujaa'
well mkuu hayo yote uyasemayo ni ya kweli hila nimdhaifu na yeye in terms of kukemea watumishi walio chini yake ndio maana kama kuna ukweli kwenye hii ripoti ni bora achukue tu hiyo pension plan yake ajipumzikie.
alianza kazi vizuri na sifa nyingi hila sasa Tanzania imekua gunia zito kwake bora amuachie mchukuzi mwingine. usiseme hili ukafanya vile kunyuma ukadhani wewe ni invisible wapi vita yake na rushwa ya nchini bado ipo palepale tu, wapi maendeleo ya mtanzania amna lolote.
jasiri angewaambia watu wote wenye shutuma inabidi muachie wadhifa kwani watanzania inavyoonekana hawana tena confidence na nyie na nyadhifa zenu. kwake yeye ni sawa tu watanzania ni waongeaji tu watasahau amna kusahau sasa kwa watu wanaotuletea umaskini kama ingekua ni nguvu yetu mkapa angekua wa kwanza hata kabla ya mahakamani arudishe asset za tanzania yeye na mkewe wote.
na aondoke tunahitaji kiongozi mwenye nia na maendeleo ya kweli sio mtu anaelitia hasara taifa wakati mataifa mengi africa sasa yana anza kuwa serious nakuanza vita ya kweli kujisaidia wenyewe na mariasili walizo nazo bora nahodha apumzike kwa faida yake yeye na kwa maendeleo yetu sisi. hila atutaki kiongozi mwingine tena aje na absolute power nguvu za raisi ni lazima zipunguzwe kwa yeyote atakaekuwa in the future vinginevyo huu upuuzi wa ufisadi utajirudi tuu.
Dawa ya kuondokana na huu mfumo mbovu ni kuwaondoa kwa nguvu madarakani, tukisema ustaarabu hawa mafisadi hawajui ustaarabu na hilo hawatalikubali litokee.Kwa kuwa wanajua wazi siku Mtanzania anashika wajibu wa kuwawajibisha viongozi waliopo madarakani huo ndio utakao kuwa mwisho wao na mali walizochuma kwa njia ya uovu.
Ili watanzania waweze kupata uhuru wao wa kiuchumi ni lazima nguvu itumike kuondoa huu uozo madarakani.Hawa watu wako wengi na wote wataendelea kulindana tuu hata aje nani,dawa ni kuwang'oa madarakani.
Kachero, katiba ya Tanzania inaruhusu Bunge kumuondoa Rais madarakani wakati wowote endapo itadhihirika ameshindwa kutekeleza majukumu yake. Kwa hiyo hakuna haja ya kutumia nguvu na mabavu wakati huu ambapo ni dhahiri hatua kama hiyo inafaa kuchukuliwa.
Ibara Na. 46A(1) ya Katiba yetu, Toleo la 2005 inasema:
"Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii".
Masharti ya hiyo ibara yanaendelea kueleza kwamba hoja hiyo haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba Rais:-
(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria
ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo vinavyokiuka maadili yanayohusu uandikishwaji
wa vyama vya siasa......
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya
Muungano, na haitatolewa hoja ya namna hiyo ndani ya miezi 12
tangu hoja kama hiyo ilipotolewa na ikakataliwa na Bunge'.
Rais wetu kwa kutochukua hatua kuwapeleka mahakamani mafisadi waliotajwa na Kamati mbalimbali za Bunge na kuidhinishwa na vikao vya Bunge, ni kukiuka Katiba. Hata pale alipoamuru wale wahalifu waliokwapua fedha za EPA wazirejeshe na wasiadhibiwe zaidi, ni ukiukaji wa Katiba.
Kwa hiyo hawa Wabunge 46 na Mawaziri 13 wanaohamasisha wananchi kuwaunga mkono ili hoja ya kumuondoa madarakani Rais wanafanya kitendo cha ushujaa na wa kizalendo. Kumekuwa na vacuum katika uongozi wa nchi hii. Wahalifu kama Bwana "Vijisenti", wanaohusishwa kimataifa na ufisadi wa Rada na ukwapuaji wa dhahabu ya nchi hii katika Kashfa ya Meremeta, wangali Bungeni na wanakula na Rais.Serikali yake hata imeshindwa kuadhibu wezi wa Migodi ya Mkaa wa Mawe wa Kiwira, eti hata kujaribu kuwa compensate majizi kama BM na Yona.
Bunge likiruhusu Serikali iliyolala kama hii kuendelea mpaka Oktoba 2010, tutakuta raslimali zetu zote zimerithishwa kwa wawekezaji wa nje wakishirikiana na mafisadi wa ndani. Sasa ni wakati wa kuwaondoa before it is too late.
Samahani mkuu wangu hapa JK kavunja sheria gani vile!, maanake sijaoni ndani wala sijawahi kuona hoja yoyote Bungeni yenye vielelezo (masharti) kama hivyo hapo juu kuvunjwa..Kachero, katiba ya Tanzania inaruhusu Bunge kumuondoa Rais madarakani wakati wowote endapo itadhihirika ameshindwa kutekeleza majukumu yake. Kwa hiyo hakuna haja ya kutumia nguvu na mabavu wakati huu ambapo ni dhahiri hatua kama hiyo inafaa kuchukuliwa.
Ibara Na. 46A(1) ya Katiba yetu, Toleo la 2005 inasema:
"Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii".
Masharti ya hiyo ibara yanaendelea kueleza kwamba hoja hiyo haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba Rais:-
(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria
ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo vinavyokiuka maadili yanayohusu uandikishwaji
wa vyama vya siasa......
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya
Muungano, na haitatolewa hoja ya namna hiyo ndani ya miezi 12
tangu hoja kama hiyo ilipotolewa na ikakataliwa na Bunge'.
Rais wetu kwa kutochukua hatua kuwapeleka mahakamani mafisadi waliotajwa na Kamati mbalimbali za Bunge na kuidhinishwa na vikao vya Bunge, ni kukiuka Katiba. Hata pale alipoamuru wale wahalifu waliokwapua fedha za EPA wazirejeshe na wasiadhibiwe zaidi, ni ukiukaji wa Katiba.
Kwa hiyo hawa Wabunge 46 na Mawaziri 13 wanaohamasisha wananchi kuwaunga mkono ili hoja ya kumuondoa madarakani Rais wanafanya kitendo cha ushujaa na wa kizalendo. Kumekuwa na vacuum katika uongozi wa nchi hii. Wahalifu kama Bwana "Vijisenti", wanaohusishwa kimataifa na ufisadi wa Rada na ukwapuaji wa dhahabu ya nchi hii katika Kashfa ya Meremeta, wangali Bungeni na wanakula na Rais.Serikali yake hata imeshindwa kuadhibu wezi wa Migodi ya Mkaa wa Mawe wa Kiwira, eti hata kujaribu kuwa compensate majizi kama BM na Yona.
Bunge likiruhusu Serikali iliyolala kama hii kuendelea mpaka Oktoba 2010, tutakuta raslimali zetu zote zimerithishwa kwa wawekezaji wa nje wakishirikiana na mafisadi wa ndani. Sasa ni wakati wa kuwaondoa before it is too late.
Kikwete ni Rais safi Tanzania haijawahi kupata na huenda haitampata tena kama huyu atakapomaliza muda wake. Maisha bora kwa kila mtanzania hayatawezekana hivi hivi, hili Kikwete analijua na ili yawezekane mpaka msingi uliopo ubomolewe na ujengwe mwingine mpya. Hili si jambo rahisi ni kama kubomoa Dar es Salaam ya leo na kijenga siku moja.
To restore the trust and harmony it will take sometime, quite sometime; probably more than 30years.[/B] Kwa kuwa ni kweli tunajua ni rahisi kubomoa kama walivyofanya mafisadi BUT kujenga it will and may take quite sometime.
well mkuu hayo yote uyasemayo ni ya kweli hila nimdhaifu na yeye in terms of kukemea watumishi walio chini yake QUOTE]
KUMBUKA FAGIO LA CHUMA LA MZEE MWINYI NA HARAKATI ZA MREMA vililenga kuondoa wafanyakazi wabovu serikalini lakini vilishindwa na wengine leo hii ndio Makatibu Wakuu wa mawizara.
MABORESHO YA UTUMISHI WA UMMA YA MKAPA pia yalishindwa na hayakuwa na jipya zaidi ya kuweka vigezo vya masters Degree kama Dili tu kushepu mitendaji inayomsumbua JK leo hii.
Samahani mkuu wangu hapa JK kavunja sheria gani vile!, maanake sijaoni ndani wala sijawahi kuona hoja yoyote Bungeni yenye vielelezo (masharti) kama hivyo hapo juu kuvunjwa..
Kinyume cha hapo maswala yote ya Kiwira, BoT, Ufisadi wa rada na ukwapuaji wa dhahabu hivi kweli vyombo vya sheria kama Takukuru wakiamua kufanya kazi JK anaweza kuwazuia?..si kisha toa ruksa jamani au!
Na hata kama JK anaweza kuwazuia kwa nini hoja kama hii haijawakilishwa bungeni, wananchi tupate kufahamu kwamba JK kazuia sheria isitumike, maanake nachoona huko bungeni hoja zote za ufisadi huzimwa na wabunge wenyewe.
Navyofahamu mimi swala la Mkapa huyu baba analindwa na sheria kama tulivyoambiwa na vyombo vya usalama kabla hata ya Kikwete hajasema kitu.
Kikwete alisema -Tumwache mzee wa watu ajipumzishe!..Kwa maelezo haya bila shaka hili lilikuwa OMBI kwetu sisi wananchi na sii kwamba amezuia kumsimamisha Mkapa..
Kusema kweli tukitaka Mkapa asimame mahakamani sidhani kama JK ana nguvu ya kutuzuia..Na nadhani ndio maana Dr. Slaa husema zipo sheria zinazotuwezesha kumsimamisha Mkapa na mara zote hazungumzii msamaha wa JK... kwa sababu haikuwa msamaha ila ombi.
Jk aliomba tumwache Mkapa apumzike hakusema hakuna kesi against Mkapa.. na sii kazi yake kumfikisha Mkapa mahakamani kwani nijuavyo mimi kisha toa ruksa zoezi la kukamata Mafisadi lifanyike..
Problem kubwa tulokuwa nayo ni vyombo vya usalama ambavyo vimekamatwa na watu ambao ni royal na walikuwa chini ya mzee Apson...Na kama mjuavyo huyo Othman ni cha mtoto kwa Apson, ikisimamisha watu mahakamani kwa Ufisadi, jina la Apson litatokea.. na hapo ndipo kazi mpya itakapoa anza.
Samahani mkuu wangu hapa JK kavunja sheria gani vile!, maanake sijaoni ndani wala sijawahi kuona hoja yoyote Bungeni yenye vielelezo (masharti) kama hivyo hapo juu kuvunjwa..
Kinyume cha hapo maswala yote ya Kiwira, BoT, Ufisadi wa rada na ukwapuaji wa dhahabu hivi kweli vyombo vya sheria kama Takukuru wakiamua kufanya kazi JK anaweza kuwazuia?..si kisha toa ruksa jamani au!
Na hata kama JK anaweza kuwazuia kwa nini hoja kama hii haijawakilishwa bungeni, wananchi tupate kufahamu kwamba JK kazuia sheria isitumike, maanake nachoona huko bungeni hoja zote za ufisadi huzimwa na wabunge wenyewe.
Navyofahamu mimi swala la Mkapa huyu baba analindwa na sheria kama tulivyoambiwa na vyombo vya usalama kabla hata ya Kikwete hajasema kitu.
Kikwete alisema -Tumwache mzee wa watu ajipumzishe!..Kwa maelezo haya bila shaka hili lilikuwa OMBI kwetu sisi wananchi na sii kwamba amezuia kumsimamisha Mkapa..
Kusema kweli tukitaka Mkapa asimame mahakamani sidhani kama JK ana nguvu ya kutuzuia..Na nadhani ndio maana Dr. Slaa husema zipo sheria zinazotuwezesha kumsimamisha Mkapa na mara zote hazungumzii msamaha wa JK... kwa sababu haikuwa msamaha ila ombi.
Jk aliomba tumwache Mkapa apumzike hakusema hakuna kesi against Mkapa.. na sii kazi yake kumfikisha Mkapa mahakamani kwani nijuavyo mimi kisha toa ruksa zoezi la kukamata Mafisadi lifanyike..
Problem kubwa tulokuwa nayo ni vyombo vya usalama ambavyo vimekamatwa na watu ambao ni royal na walikuwa chini ya mzee Apson...Na kama mjuavyo huyo Othman ni cha mtoto kwa Apson, ikisimamisha watu mahakamani kwa Ufisadi, jina la Apson litatokea.. na hapo ndipo kazi mpya itakapoa anza.
well mkuu hayo yote uyasemayo ni ya kweli hila nimdhaifu na yeye in terms of kukemea watumishi walio chini yake QUOTE]
KUMBUKA FAGIO LA CHUMA LA MZEE MWINYI NA HARAKATI ZA MREMA vililenga kuondoa wafanyakazi wabovu serikalini lakini vilishindwa na wengine leo hii ndio Makatibu Wakuu wa mawizara.
MABORESHO YA UTUMISHI WA UMMA YA MKAPA pia yalishindwa na hayakuwa na jipya zaidi ya kuweka vigezo vya masters Degree kama Dili tu kushepu mitendaji inayomsumbua JK leo hii.
Alipoingia 2005 watu wote walikuwa nyuma yake wakijua tume zote alizoziunda na safari zake alizopita kwenye wizara zote,na warsha zote alizofanya kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi,walijua alikuwa anasafisha njia ya kuifanya nchi itawarike
sasa hivi hata akilialia na mnagani Jakaya hana pa kukwepea ni dhaifu hawezi kuendesha nchi,kwa sababu yeye mwenyewe aliingia kwa kutumia mtandao,alikuwemo serikali iliyopita kwa hiyo maamuzi mengi ya baraza la mawaziri wakati wa mkapa aliyafahamu na alishiriki pia kupindisha baadhi ya sheria ili wao wanufaike kama viongozi
Hebu tujiulize kitu gani kinamfanya sasa hivi mambo ameyaacha holela hakuna utawala wa sheria ,hakuna anayemuogopa wala kumuheshimu kiongozi wa nchi anakataza hiki yue anafanya hiki ,mambo yanazidi kubomoka kuliko hata yalivyokuwa kwa Mkapa.
Miaka minne serikalini hajatafuta mbinu za kutukwamua kila siku vilio tuu kutoka kwa wananchi kutokana na jinsi mali zake zinavyoporwa na wahuni,wazungu,wahindi na waarabu,ametukatisha tamaa sana tulimwamini mno sasa anatuonyesha kwamba ni muhimu kuwe na mabadiliko makubwa kuanzia serikali za mitaa vinginevyo wanataka kutupeleka kusikofaa, kuzagaa kwa vijana bila kazi,njaa,hasira za watu maskini, ukosefu wa mapato sawia ni vitu vinavyoleta chuki,yeye ameshindwa hata kudhibiti mfumuko wa bei,watu wanateseka sana,maradhi,maisha tuu ni magumu mno kwao
Mimi naona apumzike tuu amwachie mwingine ampokee kijiti