Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
..Mtu na akili zako kweli unafungua zipu ya Suruali na kutoa Limshedede lako halafu unakojoa juu ya Sink la kunawia badala ya kukojoa chooni!!!@@###
..Hii imetokea Uwanja wa Taifa jana katika mechi ya Yanga na Azam.
"Miafrika ndivyo Tulivyo" - Nyani Ngabu
Hawa watakuwa mashabiki wa Simba tu