hashim mwamba
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,018
- 1,099
Yuko mahabusu ishapita miez mitatuwapi huko ???
Yuko mahabusu ishapita miez mitatuwapi huko ???
duuhh nilidhani kavuta kamba ...aiseeehayo ndio maisha Yke..mkuuYuko mahabusu ishapita miez mitatu
Lkn mkuu Naona wababe wa Dar ndio wanaotajwa hapaWanume wa mikoani wanapenda vitu vya kijinga. Sa ubabe wa nini akati umeambiwa hii dunia ni akili tuu. Sasa hivi pigana uone kama hujamalizia hela polisi na mahakamani.
Paul Siza mbona alikuwa mtu poa sana hana shida,alikuwa bondia bonge la mwili lakini hakuwa anaonea watu kibabe nilimuona kama mtetezi wa wanyonge zaidi,mlinda amani zaidi kuliko mleta ubabe,hata timu ya kitaa Care Boys ilikuwa haichokozwi kizembe na wahuni pale Paul Siza anapokuwapo kasimama tu,wahuni wote walikuwa wanazima fegiKinondoni ...kulikuwa na wababe Wakina bob chura(rip)po,Paul siza(tip),Juma ngedere
Ukienda migomigo utamkuta wakati Huo Jamaa alikuwa mbabe anaitwa stiba,
Ukienda manzese kuna mbabe alikuwa anaitwa santana......
Kulikuwa na mbabe mmoja nakumbuka anaitwa wandiba(rip)
Siku Hzi ubabe utamfanyia nani maana kila mtu Yuko resi na maisha
Ova
Alikuwa mbabe fulani,sema si unajua sababu ya kuuliwa kwakePaul Siza mbona alikuwa mtu poa sana hana shida,alikuwa bondia bonge la mwili lakini hakuwa anaonea watu kibabe nilimuona kama mtetezi wa wanyonge zaidi,mlinda amani zaidi kuliko mleta ubabe,hata timu ya kitaa Care Boys ilikuwa haichokozwi kizembe na wahuni pale Paul Siza anapokuwapo kasimama tu,wahuni wote walikuwa wanazima fegi
Ya walikuwa wawili watoto wa mtemi Senge mmoja alimchukua aunt yangu kinguvu akazaa naye babu yangu mkali Lakini alivyosikia ni wao akafyataKama yule Ndovu wa pale Utemini Singida miaka ya themanini na tisini mwanzoni,jamaa alikuwa anaweza kumnyanyua mtu kama anyanyuavyo glasi ya maji
Kinondoni ...kulikuwa na wababe Wakina bob chura(rip)po,Paul siza(tip),Juma ngedere
Ukienda migomigo utamkuta wakati Huo Jamaa alikuwa mbabe anaitwa stiba,
Ukienda manzese kuna mbabe alikuwa anaitwa santana......
Kulikuwa na mbabe mmoja nakumbuka anaitwa wandiba(rip)
Siku Hzi ubabe utamfanyia nani maana kila mtu Yuko resi na maisha
Ova