Wababe wameishia wapi? zamani kulikuwa na wababe kwelikweli mtaani kila mtu anamuogopa

ila movies za kibabe zilizokuwa zinaangaliwa miaka ya tisini kushuka chini zilichangia sana masuala ya ubabeubabe. siku hizi watu wanaangalia movies za kikorea na za kihindi zilizotafsiriwa ubabe watauanzia wapi. enzi hizo ni mambo ya you are next, lezi go, faki yuu eso nk.
watu wanaangalia ubungo kids
 
Ahahah umenikumbusha mbali,

Mtaani kwetu kulika na mbabe anafungisha watu maduka saa 2 uck na kawaida wanafunga saa 4

Ikifika saa 2 usiku yeye anapita kila duka anakwambia ufunge ukimpa elf 5000 anakucha uendelee hadi hiyo saa 4 ndio wafunga.
 
Tusha msahau huyo jamaa alipigwa lisasi nyingi sana mgodi wa geita akitaka kuchukua zahabu iliyo zaniwa kuwa nauzito wa tani moja.aliuwawa na komandoo wa kikaburu airport geita mgodini.
No,umemchanganya na Komando Sele aliyewahi kufanya kazi Barick Buli,Komando Sele ndiye aliuliwa pale GGM,nilikuwepo karibu na alipopigwa risasi pale Airport siku ile.Semani Kumcha yeye alikuwa pale Kakola kama refa wa mapambano ya kareti pamoja na akina Master Fuvu (R.I.P)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom