mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Nakumbuka mtaani kwetu jamaa mmoja wakati huo, kwa sasa ni mzee alikuwa na uwezo wa kuja shambani kwako asubuhi akachukua mazao na akaondoka hata ukimshtaki hakuna wa kuthubutu kuongea hiyo kesi.
Kuna ule ubabe wa mashuleni wa kutumana sukari, sabuni, maandazi kwa sh. 200 na chinchi urudishe
Tunaenda kwenye kizazi cha namna gani? Wako wapi watu hawa?
Kwa kifupi siku hizi hakuna wababe watu wanabeba vyuma tu hawaexpose ubabe wao mtaani.
Kuna ule ubabe wa mashuleni wa kutumana sukari, sabuni, maandazi kwa sh. 200 na chinchi urudishe
Tunaenda kwenye kizazi cha namna gani? Wako wapi watu hawa?
Kwa kifupi siku hizi hakuna wababe watu wanabeba vyuma tu hawaexpose ubabe wao mtaani.