MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Nilimshangaa FaizaFoxy aliposema Zanj Empire ni Zanzibar ya leo nikabaki nimeduwaa. Tatizo lake FaizaFoxy ni "usomi' wa Historia "sahihi" inayotolewa kuonyesha kwamba duniani kuna mfumo maalum wa kuuangamiza Uislamu!!
Tatizo la kukopia Mkuu,