Waarabu hawakuwa wakoloni Afrika. hilo ni jibu tosha.
Usichanganye Uarabu kama ni Taifa fulani, Uarabu ni lugha zaidi ya Taifa. Kama vile Mswahili, mswahili si Taifa. Nadhani umenipata.
Hao wengine wote uliowataja ni mataifa ambayo yanaweza kuwa na koloni lake. Kama si Taifa huwezi kuwa na koloni. Simpo.
Very interesting. Sikuwa nimeangalia hii dhana kwa muktadha huu. Je ni sahihi pia kusema kuwa uzungu ni zaidi ya lugha na hivyo wazungu hawakuwahi kuwa wakoloni afrika?