- Thread starter
- #21
Tatizo halikuwa kusubiri ila ni mazingira yenyewe ya kusubiri yaliyokuwepo pale, waandishi walitelekezwa kana kwamba ni watu ambao hawana maana, waandishi walikaa pale nusu saa na hakuna aliyekuwa anaenda kuwapa taarifa ya kuchelewa ilionyesha kuwa ni jinsi gani waandishi wanadharaulika wakati wao ndio wamewaweka hao viongozi hapo walipo. Napenda kuwashauri waandishi kuwa na umoja na kuona kuwa hata wao ni mawaziri katika department waliopo hakuna kutoa nafasi ya kudharaulika na pia waandishi wasikubali kutumiwa kama Condom.